Tabata karibu na kanisa la kristo mfalme zaman swizz pubToa maelezo yanayojitosheleza ni Tabata ipi?
Tabata ndo new sinza
Car wash chooni.
Aisee itafika mahali hata wanyama watatushangaa.
mapenzi au ngono!?Mbona vitu vya kawaida sana, Kama unatembea usiku kwy sehemu za starehe. Dar es salaam sehemu nyingi madanga wapo na sehemu ambazo kwny carwash, gereji, chooni na sehemu ambazo kuna Walinzi ndio sehemu za kufanyia mapenzi
Mkuu hata hilo hydrogen bomb linaweza kubebwa kwenye ICBMHii dunia ni bora Kim Jong-Un aliamshe Bomb moja la hydroge na two Bombs za ICBM ili tukapumzike kwa amani huko kwa Sir God.
Mbona wapo wengi tu tena wapo kitambo. Kuwaona, tembelea The Great park, Kwetu pazuri, Forty forty etc...
Aisee hyo maeneo kama unamtu wako kicheche asiende mwenyewe.....wanavaa kushawishi ngono kabisa waleMbona wapo wengi tu tena wapo kitambo. Kuwaona, tembelea The Great park, Kwetu pazuri, Forty forty etc...
Hapana mkuu.Exactly kule ndo kila kitu
Vipi wewe hujawahi kunamishwa uchochoroni?
Elekeza vizuri nami nikapitie hapo mara Moja mambo ya kwa mlinziWiki kama mbili hv zilopita nilikatisha Kwa miguu nikitokea maeneo ya KB nikakatisha vichochoro flan kama unakuja SWIS mida ya SAA NNE ucku,nilivyokaribia karibu na car wash flan nikakutana na wadada km wanne hv wadangaji,wakanitinga mbele yangu na kuanza kuniomba tukapigane Pumb*,huku kila mmoja akijaribu kunishawishi kivyake,nilipochoka ni pale mmoja aliposema eti 6000 yako tu unakula kitu saafi na kondom anayo na tissue pia anayo,ananiomba twende car wash chooni tukamakize mambo Kwa mlinzi,nikajiuliza Hawa watu wamevamia lini tena tabata jmn,namshukuru Mungu nilivishinda vishawishi vyao maana nilikuwa ninawahisha dawa ya tumbo Kwa mdogo wangu home,ungekuta sina haraka labda Kwa Mara ya kwanza nakula Malaya chooni.kuweni makini na maeneo hayo nyakati za usiku hasa wale mnaokatisha vichochoro Kwa miguu wakuu.
Sinza inapotezwa na TabataTabata ndo new sinza
Nikitongoza Dem akiniambia anakaa tabata au sinza au kinondoni baaasi hamu yote inaisha