Tabata hatuna maji wiki nzima

Tabata hatuna maji wiki nzima

vijana wenzangu hii si ni fursa tukauze maji ya mkokoteni tabata au mnasemaje!?.

Hivi si ndo kufikiria nje ya boksi ama!?.

niambieni wanapokodisha mikokoteni tabata mi niingie msambweni.

Nadhani waliposema ktka kampeni kua tutaongez fursa za vijana kujiajiri walikusudia hili.

Mitano tena!.
 
Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua au zichukuliwe hatua. Tabata na vitongoji vyake na pengine tabata nzima maji ya dawasco hayatoki na hakuna taarifa yoyote...
Dah!! Sa na hii Nyumonia kali itakuwaje....anyway Tabata tangulieni mkatuadalie makao..

Mbele yenu nyuma yetu
 
Kama hakuna maji huko Tabata kwa wiki zima, mna habati. ninyi mko peponi. Wengine huku Mbezi Juu kwa Pembe njia ya kuelekea Goba, hayo maji tunayasikia redioni. Mabomba yapo lakin hatujawahi kuyaona hayo maji ya DAWASCO. Engineer Luhemeje tukumbuke
 
Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua au zichukuliwe hatua. Tabata na vitongoji vyake na pengine tabata nzima maji ya dawasco hayatoki na hakuna taarifa yoyote..

Uvumilivu wakuu hata uraya ni hivi hivi.

Kumbukeni lengo ni kuifanya dar kuwa kama uraya. 😂😂😂😂😂😂😂

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua au zichukuliwe hatua. Tabata na vitongoji vyake na pengine tabata nzima maji ya dawasco hayatoki na hakuna taarifa yoyote...
Tabata gani hiyo unayokaa wewe?,nipo Tabata hapa St Mary College nina miaka zaidi ya 5 sijawahi kusombelea madumu ya maji na madumu yenyewe nishatupa.
 
Yaani maji kutotoka wiki unakuja kulia lia humu? unajua kuna mamilioni ya watu hawajawahi kuunganishiwa maji na wananua maji kila siku au kutegemea maji ya mvua au kuchota kwenye mabwawa na madimbwi yanayotumiwa pia na mifugo!?
 
Mkuu kwan kakwambia hajlipa bili ?, mambo mengine bana , acha ujinga mkuu, kwamba Maji hayatoki sehem zote , kwa hiyo unataka kusema , watu wote tabata nzima hawajalipa bill
Mkuu mtu kama hataki kulipa Ankara asitegemee maajabu.

Mkuu nchi hii sio kama zamani watu walikua wanalindana na kuishi kiujanja ujanja Lipeni hili hakuna cha bure.
 
Mkuu mtu kama hataki kulipa Ankara asitegemee maajabu
Mkuu nchi hii sio kama zamani watu walikua wanalindana na kuishi kiujanja ujanja q
Lipeni hili hakuna cha bure
Acha hizooo wewe nani kakwambia sahv wapiga dili huko serikalini hawapo?
Kila awamu inakwenda na watu wake

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom