Tabata hatuna maji wiki nzima

Tabata hatuna maji wiki nzima

Yaani maji kutotoka wiki unakuja kulia lia humu? unajua kuna mamilioni ya watu hawajawahi kuunganishiwa maji na wananua maji kila siku au kutegemea maji ya mvua au kuchota kwenye mabwawa na madimbwi yanayotumiwa pia na mifugo!?
Sasa nchi tajiri hii inakuaje tena wananchi hawajawahi kuona maji ya bomba?
 
Mkuu mambo yote wazi
Wapiga dili lazima muumie maana mianya imeziba kabisa
Mkuu uwe unajiongeza kabla yakucomment chochote.Tatizo sio bili bali maji hakuna maeneo yote ya tabata,tabata segerea,kinyerezi nakwingineko.

Kwahiyo watu wa marneo hayo ndo hawalipi bili sio?Mbona mimi kwangu sidaiwi hata mia lakini huduma ya maji hakuna zaidi ya wiki sasa.
 
Mkuu uwe unajiongeza kabla yakucomment chochote.Tatizo sio bili bali maji hakuna maeneo yote ya tabata,tabata segerea,kinyerezi nakwingineko.

Kwahiyo watu wa marneo hayo ndo hawalipi bili sio?Mbona mimi kwangu sidaiwi hata mia lakini huduma ya maji hakuna zaidi ya wiki sasa.
Mkuu usiseme zaidi ya wiki.. Labda ilitokea hitilafu ya kiufundi na haiwezi kuzidi masaa 48 lazima serikali hii irudushe
Mimi Nafikiri watu wa tabata wanafikiria wataishi na kupata huduma bure kwa kujuana
 
Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua au zichukuliwe hatua. Tabata na vitongoji vyake na pengine tabata nzima maji ya dawasco hayatoki na hakuna taarifa yoyote.

Tangu mzee Magufuli aende kupumzika kwao tumekatiwa maji. mambo mengi napishanaga nae huyu mzee na chama chake ila suala la kupiga spana watumishi mizigo niko nae mia kwa mia.
BREAKING NEWS::::::: MAJI YAMESHARUDI. MDA HUU YAPO YANATOKA.
thread closed!
 
Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua au zichukuliwe hatua. Tabata na vitongoji vyake na pengine tabata nzima maji ya dawasco hayatoki na hakuna taarifa yoyote.

Tangu mzee Magufuli aende kupumzika kwao tumekatiwa maji. mambo mengi napishanaga nae huyu mzee na chama chake ila suala la kupiga spana watumishi mizigo niko nae mia kwa mia.
Mbunge wenu atakua mpinzani Ila kaingia kwa tiketi ya CCM.
Atawwchelewessha sana huyo
 
mrejesho:

maji yameanza kutoka. mapema tu.

ahsanteni JF na wanaJF.
 
Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua au zichukuliwe hatua. Tabata na vitongoji vyake na pengine tabata nzima maji ya dawasco hayatoki na hakuna taarifa yoyote.

Tangu mzee Magufuli aende kupumzika kwao tumekatiwa maji. mambo mengi napishanaga nae huyu mzee na chama chake ila suala la kupiga spana watumishi mizigo niko nae mia kwa mia.
Niliona barua ya dawasa juzi ikionyesha kuna ukarabati unaendelea mkuu,ila walisema ndani ya saa 24,kibongo bongo saa 24 ni siku 3 mpaka week
 
Back
Top Bottom