haki gani? u still believe in politicians of this country?Highly spirited Tundu Lissu like Nelson Mandela
Obsession ni ugonjwa wa hovyo sanaaaaaaaHighly spirited Tundu Lissu like Nelson MandelaView attachment 3345229View attachment 3345230
Kuna tofauti kubwa sana..LISU ni pro-wazungu wakati MANDELA ni anti-wazunguHighly spirited Tundu Lissu like Nelson MandelaView attachment 3345229View attachment 3345230
si sahihi kabisa kulinganisha TAL na Nelson Mandela, huyu ni TAL ni mtafutaji maisha kama sisi wengineKuna tofauti kubwa sana..LISU ni pro-wazungu wakati MANDELA ni anti-wazungu
Mandela hakuwa anti "Wazungu" alikuwa anti Apartheid Lissu ni anti autocracy rudi shule.Kuna tofauti kubwa sana..LISU ni pro-wazungu wakati MANDELA ni anti-wazungu
Anti apartheid ndo anti wazungu...maana hio apartheid ilikuwa ikiongozwa na wazungu...Mandela hakuwa anti "Wazungu" alikuwa anti Apartheid Lissu ni anti autocracy rudi shule.
wenyewe wanamwona ni mkombokozi wa maisha yaoAnti apartheid ndo anti wazungu...maana hio apartheid ilikuwa ikiongozwa na wazungu...
Nyie LISU amewashika mpaka akili zenu

Apartheid sio anti wazungu Mandela angeweza kuwafukuza Wazungu aliposhika madaraka lakini alichofanya ni kudismantle Apartheid system.Lissu kwa upande mwingine anataka kuuondoa huu mfumo wa KIIMLA na kuleta DEMOKRASIA ya kweliAnti apartheid ndo anti wazungu...maana hio apartheid ilikuwa ikiongozwa na wazungu...
Nyie LISU amewashika mpaka akili zenu
Kuna tofauti kubwa sana..LISU ni pro-wazungu wakati MANDELA ni anti-wazungu
ANAOWADHIFA WA MWANASHERIA KABLA YA MWANASIASA KWAIO INAMFANYA KUWA MWANAHARATI ANAEPAMBANIA HAKIHamna mwanasiasa anapigania haki, watu wanatafuta maslahi yao. Subiri apate kiti