TAASISI ZITOAZO MIKOPO YA MIKATABA YA UJENZI

TAASISI ZITOAZO MIKOPO YA MIKATABA YA UJENZI

Lizen Matari

Member
Joined
Sep 7, 2018
Posts
15
Reaction score
1
Habari zenu JF?
Nimesikia kuna taasisi zinazotoa mikopo ya mikataba ya ujenzi( wanakujengea nyumba/frem kwa ajili ya biashara) kisha baada yakukamilika ujenzi, wanajilipa tozo yao kupitia hiyo biashara itakayokuwa inajiendesha katika huo mradi wao wa ujenzi.

Shida yangu; ninaomba kwa yeyote mwenye info zozote juu ya hili anisaidie.

Nina kiwanja chenye ukubwa wa nusu ekari, kipo maeneo ya Tabata, so ninahitaji hizo kampuni niingie nao mikataba.
 
Banki ya watu wa Zanzibar ndio inatoa huduma izo lkn uwe na vigezo nenda tawi lolote la benki hiyo utapata maelezo
 
Back
Top Bottom