Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Zifuatazo kwa uchache ni taasisi ambazo zijiandae kuzorota (siyo kufa asilani) kwa ushindani mkali ambao haujawahi kutokea EAC na Afrika kwa ujumla.
TPA
Tayari kwa ushirika na serikali ya Uhuru, Kisumu Port imejengwa Ultra-modern kuliko Musoma, Mwanza, Kemondo Bay, Bkb na Port bell, akiingia Ikulu nguvu inahamia Mombasa ambayo ni EAC gateway.
SGR
Kuna mikakati mikali ya ushindani ambayo imepangwa kuendeleza SGR toka Nairobi kwenda Kisumu hadi Busia, Uganda itaunga toka Busia hadi Kampala. Rwanda itashawishiwa hata kwa kuahidiwa investment incentives iunge SGR toka Kampala hadi Kigali.
ATCL
Tayari KQ imechukuwa kwa mkataba SAA na sasa hivi ndege zote za KQ na hizo za SAA ukipanda kuingia EAC lzm lzm kwanza utue JKIA. Naona dalili za KQ kuichukuwa pia ATCL na sasa KQ itakuwa na SAA na ATCL na kuipa ushindani Ethiopian Airways. ATC iliwahi kuchukuliwa na SAA.
TANESCO
Kenya ni potential customer wa umeme EAC, km JNHEP ikiendelea at a snail's pace, ili kuharakisha uchumi wa Kenya, Raila ataelekea Uganda kununua umeme. Uganda inaongoza kwa idadi kubwa ya miradi EAC: Muzizi Hydro Power Sttn 44.7MW, Isimba Hydro Power Sttn 183MW, Karuma Hydro Power Sttn 600MW, Nalubaale Power Sttn (zamani Owen Falls Dam. Nalubaale ni istilahi ya Luganda inayomaanisha ziwa Victoria) inachangia kwy gridi ya taifa 180MW, Kiira Power Sttn 200MW. Bujagali Falls Hydropower Dam Jinja 250MW. Wakati JNHEP inapigwa vita na wanamazingira wa ndani na nje ya JMT, mto Nile una miradi 25 mingi ikiwa Uganda. Tz gesi inasuasua, Kinyerezi idadi ya phases zake zilizokusudiwa zimekwama kukamilika.
Mhe. Raila anasema anataka kuibadili Kenya ndani ya awamu moja ya uongozi wake km walivyofanya Joseph Stalin, Abeid Karume, Nelson Mandela, William Tubman, John Magufuli, Hussein Mwinyi.
Mhe. Raila anasema anataka kupunguza utegemezi kwa wafadhili wa nje, kwamba anaziona ela ziko ndani ya Kenya na anajuwa zilipo na namna atavyozipata ili zijenge Kenya.
Moja ya mbinu za msingi za kuipaisha Kenya ni ku-redress graft na ukoo wa Jaramogi Oginga ni wazuri kwy vita hiyo kwa sbb pia ni wasafi. Kibaki alipogundua ugumu wa vita ya ufisadi alikubali ushirika na Jemedari wa vita Raila (ODM na PNU) Kibaki akapata ushindi ktk medani ya ufisadi.
Mhe. Raila aliokoa fedha na ardhi za thamani kubwa.
Mhe. Raila ameahidi kutoa elimu bure kuanzia ya msingi hadi chuo kikuu kwamba Kenya ina uwezo huo.
TPA
Tayari kwa ushirika na serikali ya Uhuru, Kisumu Port imejengwa Ultra-modern kuliko Musoma, Mwanza, Kemondo Bay, Bkb na Port bell, akiingia Ikulu nguvu inahamia Mombasa ambayo ni EAC gateway.
SGR
Kuna mikakati mikali ya ushindani ambayo imepangwa kuendeleza SGR toka Nairobi kwenda Kisumu hadi Busia, Uganda itaunga toka Busia hadi Kampala. Rwanda itashawishiwa hata kwa kuahidiwa investment incentives iunge SGR toka Kampala hadi Kigali.
ATCL
Tayari KQ imechukuwa kwa mkataba SAA na sasa hivi ndege zote za KQ na hizo za SAA ukipanda kuingia EAC lzm lzm kwanza utue JKIA. Naona dalili za KQ kuichukuwa pia ATCL na sasa KQ itakuwa na SAA na ATCL na kuipa ushindani Ethiopian Airways. ATC iliwahi kuchukuliwa na SAA.
TANESCO
Kenya ni potential customer wa umeme EAC, km JNHEP ikiendelea at a snail's pace, ili kuharakisha uchumi wa Kenya, Raila ataelekea Uganda kununua umeme. Uganda inaongoza kwa idadi kubwa ya miradi EAC: Muzizi Hydro Power Sttn 44.7MW, Isimba Hydro Power Sttn 183MW, Karuma Hydro Power Sttn 600MW, Nalubaale Power Sttn (zamani Owen Falls Dam. Nalubaale ni istilahi ya Luganda inayomaanisha ziwa Victoria) inachangia kwy gridi ya taifa 180MW, Kiira Power Sttn 200MW. Bujagali Falls Hydropower Dam Jinja 250MW. Wakati JNHEP inapigwa vita na wanamazingira wa ndani na nje ya JMT, mto Nile una miradi 25 mingi ikiwa Uganda. Tz gesi inasuasua, Kinyerezi idadi ya phases zake zilizokusudiwa zimekwama kukamilika.
Mhe. Raila anasema anataka kuibadili Kenya ndani ya awamu moja ya uongozi wake km walivyofanya Joseph Stalin, Abeid Karume, Nelson Mandela, William Tubman, John Magufuli, Hussein Mwinyi.
Mhe. Raila anasema anataka kupunguza utegemezi kwa wafadhili wa nje, kwamba anaziona ela ziko ndani ya Kenya na anajuwa zilipo na namna atavyozipata ili zijenge Kenya.
Moja ya mbinu za msingi za kuipaisha Kenya ni ku-redress graft na ukoo wa Jaramogi Oginga ni wazuri kwy vita hiyo kwa sbb pia ni wasafi. Kibaki alipogundua ugumu wa vita ya ufisadi alikubali ushirika na Jemedari wa vita Raila (ODM na PNU) Kibaki akapata ushindi ktk medani ya ufisadi.
Mhe. Raila aliokoa fedha na ardhi za thamani kubwa.
Mhe. Raila ameahidi kutoa elimu bure kuanzia ya msingi hadi chuo kikuu kwamba Kenya ina uwezo huo.