Taasisi ya TWAWEZA ina kibarua kigumu kurudisha imani ya wananchi juu ya tafiti zao!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,660
15,744
Baada ya siku za nyuma kutoa tafiti ambazo zilionekana kutokuendana na uhalisia, imani ya wanainchi wengi juu ya matokeo ya tafiti za TWAWEZA ilishuka.

Sasa ikiwa wanaelekea kuchapisha tafiti zao mpya, taasisi hii ijitahidi kutoa tafiti zinazoendana na uhalisia ili wananchi wajenge imani tena na tafiti zao.

Pia TWAWEZA wajiepushe kutumika kisiasa katika kuandaa na kuchapisha tafiti zao...
Ongezea na mengine ambayo ungependa TWAWEZA wayafanye katika tafiti zao...
 
Tatzo ulitaka na mlitaka TAFITI zile ambazo zipo kichwani mwenu au mnataka kusikia TAFITI za kupikwa AMBAZO ni nzuri kwa CHADEMA na mbaya kwa CCM au mntaka tafiti ambazo zinaongelea MABAYA JUU YA RAIS wa NCHII HII NA SI MAZURI AMBAYO TUNAYAONA.....huu Uzi HAPA ASUBUHI hii NI UPUUZI MTUPU....
 
hii taasisi ya hovyo kabisa,mimi wakinipa hayo makaratasi yao naenda kuyaweka choo cha stendi,haitakosa matumizi
 
Anaemlipa mwimbaji ndie huchagua wimbo, hivyo Anaewawezesha ndie huchagua cha kuandika. Tafiti za kibongo full political uhalisia hakuna
 
Tatzo ulitaka na mlitaka TAFITI zile ambazo zipo kichwani mwenu au mnataka kusikia TAFITI za kupikwa AMBAZO ni nzuri kwa CHADEMA na mbaya kwa CCM au mntaka tafiti ambazo zinaongelea MABAYA JUU YA RAIS wa NCHII HII NA SI MAZURI AMBAYO TUNAYAONA.....huu Uzi HAPA ASUBUHI hii NI UPUUZI MTUPU....
Ila wewe unapenda ya kinyume chake, poor you.
Utafiti wa twaweza ni wakupikwa zaidi ofisini haina uhalisia
 
Hawa jamaa nilishawahi fanya nao kazi kipindi fulani ktk research zao hawapo serious
 
Mi nafikiri tafiti zao ni ''Sampling bias''na matokeo yao ni "biased sample" with the potentially to be consistently erroneous.Uwezi fanya utafiti wa kuwakilishia watu zaidi ya milion 40 kwa kuliza maswali watu wasiozidi hata theluthi ya idadi ya watu million zaidi 40 ukasema utafiti wako unajitosheleza hasa nchi za ulimwengu wa tatu.
 
Baada ya siku za nyuma kutoa tafiti ambazo zilionekana kutokuendana na uhalisia, imani ya wanainchi wengi juu ya matokeo ya tafiti za TWAWEZA ilishuka.

Sasa ikiwa wanaelekea kuchapisha tafiti zao mpya, taasisi hii ijitahidi kutoa tafiti zinazoendana na uhalisia ili wananchi wajenge imani tena na tafiti zao.

Pia TWAWEZA wajiepushe kutumika kisiasa katika kuandaa na kuchapisha tafiti zao...
Ongezea na mengine ambayo ungependa TWAWEZA wayafanye katika tafiti zao...
Bahati nzuri sana tafiti nyingi kwa hapa nchini ni za kujiburudisha tu, kama zingekuwa zunatumika kuandaa sera (policy making) twaweza wangetutumbukiza shimoni, na huenda washatutumbukiza shimoni kisera.
 
Hii ni TWAWEZWA, maana hawa jamaa wameweka akili na elimu yao pembeni ili kumfurahisha bwana yule., waendelee tu kutoa tafiti za kuipaisha ccm wapate mlo wao wa kila siku, wakitoa tafiti nyingine wamekwisha.
 
Tatzo ulitaka na mlitaka TAFITI zile ambazo zipo kichwani mwenu au mnataka kusikia TAFITI za kupikwa AMBAZO ni nzuri kwa CHADEMA na mbaya kwa CCM au mntaka tafiti ambazo zinaongelea MABAYA JUU YA RAIS wa NCHII HII NA SI MAZURI AMBAYO TUNAYAONA.....huu Uzi HAPA ASUBUHI hii NI UPUUZI MTUPU....
Mwaka 2015:

"Mgombea wa CCM atashinda kwa asilimia 78." - TWAWEZA

Nikumbushe alipata ngapi kwenye uchaguzi halisi?

Msitufanye wapuuzi.
 
Back
Top Bottom