nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Mbali na Bodi ya Mikopo (HESLB) kuna mwenye kufahamu Taasisi au Benki yoyote inayotoa mikopo kwa wanafunzi wanaosoma kwenye vyuo hapa nchini?
Hakuna benk ya kurisk hela yake kwa kumfadhiri mtu ambae hujui kama ataajiriwa lini. Labda kama ni staff
Umekubaliana na majibu?
Kiongozi hapo, baad ya kusoma comment ya baloz mmoja hapo juu, nahisi Ni vigumu Sana kukopesha pesa kwa ajili ya elimu ya juu hila nishawah kusikia CRDB wanatoa mikopo ya elimu Sasa sijui inatolewaje.