Taarifa za LEMA zilivyopokelewa Mtwara

Taarifa za LEMA zilivyopokelewa Mtwara

Nabwada

Senior Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
124
Reaction score
33
Wana Mtwara wanaiuliza NEC ,ni nani anaghalamia Uchaguzi Arusha Mjini?,na ni nani atalilipia SHANGINGI la LEMA alilokopa?,
 
Wana Mtwara wanaiuliza NEC ,ni nani anaghalamia Uchaguzi Arusha Mjini?,na ni nani atalilipia SHANGINGI la LEMA alilokopa?,

hivi jamani kila kitu lazima kupost jf? Hili swali si unaweza kumuuliza hata jirani yako tu? Akili za wapi hizi?
 
kama unatoka mtwara basi vizuri bila shaka tutaanza kupata mabreaking news kutoka huko coz habari za huku zilikuwa zinachelewa kufika. karibu sana.
 
Wana Mtwara wanaiuliza NEC ,ni nani anaghalamia Uchaguzi Arusha Mjini?,na ni nani atalilipia SHANGINGI la LEMA alilokopa?,

Watu wa Mtwara wengi ni wanakafu, sishangai kupost hili shuzi
 
Watu wa Mtwara wameuliza swali la msingi linaitaji majibu.
 
unazungumzia mtwara ipi? hii ya tanzania au? Nijuavyo mimi mtwara ni cuf na ccm. hilo swali ni lako wewe binafsi.
 
akaribie lakini ameanza kutoa fyongo, huyo Lema anamsikia tu na kumuona kwenye TV lakini swala la gari na mambo mengine ni vitu vidogo sana. Hujiulizi kwa nini wanamuogopa hivyo. Unafikiri Arusha ni sawa na MAHUTA? Toa vitu vya kueleweka na sijui huyo MURJI wa CCM mnampendea nini hapo mjini Mtwara leteni mabadiliko muda ndiyo huu msisubiri watu wa Arusha waanze ndiyo mfuate. Mtazidi kuwa wa nyuma tu. Narudia badilika weweeeeee.:flypig:
 
Pipoz pawa tunaweza kuchangia kumnunulia Lema shangingi. Tofauti kubwa kati ya CDM na vyama vyenu vya kiTWANA ni kuwa CDM mali sio motivation ya kuwa mwanasiasa. Ona watu kama Nape utumwa wa kupanda V8 unamfanya hata akiambiwa akaoshe vyombo kwa Laigwanan anaenda tu
 
Back
Top Bottom