Taarifa ya TANESCO: Katizo la Umeme Ilala

Wadau
Kuna taarifa zipo kwamba IPTL wamezima mitambo yao ya kuzalisha umeme na kusababisha umeme kutokuwepo katika mikoa mbalimbali Tanzania.

Hii inatokana na mwekezaji huyo kufanya maamuzi ya kuondoa mitambo yake na kuipeleka Burundi
IPTL wanatoa 75% ya umeme wa Dar es Salaam

Ni muhimu kujikumbusha historia na mikataba ya IPTL. Huu mtambo utakuwa mali ya Tanesco sijui lini, na ndio maana ya capacity charge.

Nadhani sasa tukose imani na JK. Huyu hataachia madaraka, subirini muone. Maovu yote haya aliyoifanyia taifa hili!
 
Wadau
Kuna taarifa zipo kwamba IPTL wamezima mitambo yao ya kuzalisha umeme na kusababisha umeme kutokuwepo katika mikoa mbalimbali Tanzania.

Hii inatokana na mwekezaji huyo kufanya maamuzi ya kuondoa mitambo yake na kuipeleka Burundi
IPTL wanatoa 75% ya umeme wa Dar es Salaam

Kama ni hivyo basi hili ni chezo tunachezewa ili tuone umuhimu wa iptl na kukubali yaishe.
Haya haya yalifanywa wakati wa Richmond.
Hapa hakuna cha Burundi,huo mtambo ni wa watz wa hapa hapa huyo kalasinga ni knock tu na hiyo iptl ni front company na wenyewe ni vigogo ndani ya serikali hii ya awamu ya nne.
Kuna kundi la watu ndani ya ccm linapaswa kumulikwa na kushughulikiwa,otherwise haka kanchi kataomba po kwa matatizo yanayosababishwa na hicho kikundi kibaya.
CCM inapaswa kuokolewa toka mikono ya mashetani.Inatumika vibaya na inaangamiza nchi huku wasamaria wema ndani na nje ya ccm mkikaa kimya.
Tatizo tunaiona ccm kama taasisi binafsi ya watu fulani wakati hiki ni chama cha watz wote,kinawajibika kwetu na tunao uwezo wa kukihoji na kukiwajibisha.
Kabla hatujafikiria chadema,cuf etc,tujiulize ni akina nani wameiharibu ccm,ni wakenya?ni nani wamo ndani ya chadema,cuf,ni wajerumani?
Ndio maana nasema tatizo hapa si ccm,chadema,cuf,iptl,tanesco,etc,tatizo ni "watanzania".
Msinishangae kuingiza siasa kwenye uzi huu,i know some individuals ndani ya serikali na ccm wako behind this iptl thing.
Tukumbuke ule usemi,kwamba uovu hutamalaki pale watu wema wanapochagua kukaa kimya.
Watanzania tumechagua uovu,ndio maana tupo kimya,hatuchukui hatua ngumu zaidi ya kuwajibisha vidagaa tu akina Muongo,kalasinga huku "wenyewe" wanaoharibu nchi hii tukiwaacha,na hata hao akina muongo wakilialia sana tutawaonea huruma na kuwaacha kama akina chenge,ndio maana nasema tatizo ni "utanzania".
 
Wadau
Kuna taarifa zipo kwamba IPTL wamezima mitambo yao ya kuzalisha umeme na kusababisha umeme kutokuwepo katika mikoa mbalimbali Tanzania.

Hii inatokana na mwekezaji huyo kufanya maamuzi ya kuondoa mitambo yake na kuipeleka Burundi
IPTL wanatoa 75% ya umeme wa Dar es Salaam

Aipeleke kokote hatuhitaji kuona wala kusikia IPTL kampuni tanzu ya Kikwete.
 
Nyerere aliiba tu . Kutaifisha ni kubadili neno sahihi ule ulikuwa wizi ujambazi na unyanganyi. Miaka ya sasa mikataba hii inalindwa na sheria za kimataifa ukitaifisha watakushtaki na utalipa maradufu. Wacheni hizo mentality za kijambazi za unyanganyi. Faida gani mswahili kapata kutaifishwa mashamba ? Na mabenki na insurance ? Si laana tu imetupata na mwisho tumekula matapishi yetu tumewaita na kuwapa tena mabanki na mashamba.
Ni wenye mtindio wa ubongo pekee watakaomruhusu mwizi ajifungie chumbani kuwatungia sheria za kuwaibia na waendelee kukenua meno; tulishiri kutengeneza hizo sheria za kibeberu? au zilitungwa juzijuzi baada ya nyerere kuondoka madarakani? Mugabe je? Juzijuzi kawatimua wazungu na mapanga na marungu kapelekwa mahakama ipi? sembuse hilo jenereta uchwara la singasinga? bilioni 300 inanunua mangapi kama hayo? si kauziwa kwa milioni mia tano tuuu? acheni upunguwani humu
 
Nyerere aliiba tu . Kutaifisha ni kubadili neno sahihi ule ulikuwa wizi ujambazi na unyanganyi. Miaka ya sasa mikataba hii inalindwa na sheria za kimataifa ukitaifisha watakushtaki na utalipa maradufu. Wacheni hizo mentality za kijambazi za unyanganyi. Faida gani mswahili kapata kutaifishwa mashamba ? Na mabenki na insurance ? Si laana tu imetupata na mwisho tumekula matapishi yetu tumewaita na kuwapa tena mabanki na mashamba.
Ni wenye mtindio wa ubongo pekee watakaomruhusu mwizi ajifungie chumbani kuwatungia sheria za kuwaibia na waendelee kukenua meno; tulishiriki kutengeneza hizo sheria za kibeberu? au zilitungwa juzijuzi baada ya nyerere kuondoka madarakani? Mugabe je? Juzijuzi kawatimua wazungu na mapanga na marungu kapelekwa mahakama ipi? sembuse hilo jenereta uchwara la singasinga? bilioni 300 inanunua mangapi kama hayo? si kauziwa kwa milioni mia tano tuuu? acheni upunguwani humu
 
inawezekana pia kundi linalomsapoti muhongo na singasinga wakatumia mbinu nyingi ikiwemo mgao mkali ili kujaribu kuuaminisha umma kua wanafanyiwa hila kumbe wao ndo wanalifanyia taifa hila

hapa sina comments maana sijui chanzo cha mawazo yako .... navyokumbuka ni kuwa mitambo ya IPTL ilikua inawashwa pale dharura zinapotokea kama vyanzo vingine kuwa na upungufu .... ndio maana ulikua ukisikia sana watu wakipiga deals za mafuta ili kusupply mitambo ya IPTL....kuendesha mitambo ya mafuta kama base generation sio rahisi hasa pale unapokua na vyanzo vingine kama hydro na natural gas!
 
Back
Top Bottom