Mssesejunior
Senior Member
- Nov 21, 2014
- 130
- 31
upotoshaji sio mzuri .....mtu hata facts za umeme unazalishwaje na unasambazwaje huna, ila unakuja hapa na kusambaza sumu zako .... so sad!!!
inawezekana pia kundi linalomsapoti muhongo na singasinga wakatumia mbinu nyingi ikiwemo mgao mkali ili kujaribu kuuaminisha umma kua wanafanyiwa hila kumbe wao ndo wanalifanyia taifa hila