Taarifa ya TANESCO: Katizo la Umeme Ilala

Ndio Mida mzuri kwa serikali kuichukua kabisa NA kuibadili itumie gas


Tatizo wezi wamekamatwa ,sasa ulaji umekuwa noma ,nani atawazuia wakati bado wananchi wanavutana na vibaka wala rushwa waibaji hela za wananchi ,hizo hasira za mkizi bila ya shaka yeyote ile kuna jizi limeishauri hiyo kampuni iondoke ili kutukomoa wananchi ,bahati vibatali bado sijavitupa ! Yoooooote haya sababu ni mijizi ya CCM.
 
Kuitaifisha mitambo ambayo sio Yetu ni dhambi na tujiandae kushtakiwa

Kushtakiwa na nani ? Kwani nani kaitaifisha wakati yeye mwenyewe singasinga alikimbilia mahakamani.
Sasa anapohamishia mitambo huko Burundi ina maana anakimbia, la msingi asubiri kesi iishe ndiyo ajue kama ameshinda au la
 
Freeland hebu fuatilia zaidi maana hili km lina ukweli litakuwa pigo hasa kwa sisi wanyonge
SIASA NA UHALISIA WA MAMBO YA KUTUNGA YA PAC ndio litakuwa pigo
mwenye chake mpeni
jamaa yangu wa DSM nimemuuliza saa hizi (11:35) jioni hajaona katizo lolote anasema labda ni km mgawo wa maji Tanesco wakizidiwa mgawo utawafikia
 
Wadau
Kuna taarifa zipo kwamba IPTL wamezima mitambo yao ya kuzalisha umeme na kusababisha umeme kutokuwepo katika mikoa mbalimbali Tanzania.

Hii inatokana na mwekezaji huyo kufanya maamuzi ya kuondoa mitambo yake na kuipeleka Burundi
IPTL wanatoa 75% ya umeme wa Dar es Salaam

Dar umezima?
 
Wadau
Kuna taarifa zipo kwamba IPTL wamezima mitambo yao ya kuzalisha umeme na kusababisha umeme kutokuwepo katika mikoa mbalimbali Tanzania.

Hii inatokana na mwekezaji huyo kufanya maamuzi ya kuondoa mitambo yake na kuipeleka Burundi
IPTL wanatoa 75% ya umeme wa Dar es Salaam

upotoshaji sio mzuri .....mtu hata facts za umeme unazalishwaje na unasambazwaje huna, ila unakuja hapa na kusambaza sumu zako .... so sad!!!
 
upotoshaji sio mzuri .....mtu hata facts za umeme unazalishwaje na unasambazwaje huna, ila unakuja hapa na kusambaza sumu zako .... so sad!!!

unapokanusha toa taarifa sahihi hasa kuhusu hii crisis ya siku tatu sasa
 
Kuitaifisha mitambo ambayo sio Yetu ni dhambi na tujiandae kushtakiwa

Nyerere alitaifisha majumba, mabenki, mahospitali, mashule, nk. tena vya wazungu na wakakimbia tena hawakutuibia kitu kesi ziko wapi? akili za kushikwa bhana!
 
Wadau
Kuna taarifa zipo kwamba IPTL wamezima mitambo yao ya kuzalisha umeme na kusababisha umeme kutokuwepo katika mikoa mbalimbali Tanzania.

Hii inatokana na mwekezaji huyo kufanya maamuzi ya kuondoa mitambo yake na kuipeleka Burundi
IPTL wanatoa 75% ya umeme wa Dar es Salaam

Inabidi mtu uwe unajisoma unavoleta taarifa kama hiz sio jambo unaliskia kijuwen unakimbilia kupost.
Kwanza umeme unaozalishwa unaingizwa kwenye grid ya taifa tofaut na ww unavowaza kwamba kwa sababu mitambo iko dar bas waathirika ni dar pekee
Pili elewa kwamba suala la iptl na tanesco kwenye kuzalisha umeme si suala la mtu ama utashi wa mtu; huu ni mkataba ni process ndefu kufkia hatua ya kuvunja mkataba wa kibiashara kama; labda kama walosign mikataba hiyo ni bogus hawawez kusimamia terms za mkataba
 
Waondoke tu.... hatuwahitaji wanyonyaji. Kama mtu badala ya msaada anakuangamiza ya nini kumkumbatia? Aondoke tena nasema aondokeeeeeee....
 
Back
Top Bottom