james chapacha
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 939
- 200
jee said salim bahresa anazihujumu hizi meli nyingine??? jamani watz tuliangalie kwa undani kabisa haya masuala.
ivi inawezekana kuhujumu meli ambayo haina hata OFISI? hii inachangiwa na UDHAIFU wa serikali ya CCM na CUF rushwa inalitafuna Taifa letu.