Aisee, hili swala la marehemu Mwangosi na ubabe wa polisi litanifanya nipigwe ban...... Maana tangu jambo hili litokee sa nyingine nimekuwa napata hasira sana humu jf na kutamani sana kutukana......... nimevumilia naona uvumilivu karibu utanishinda, nitasema liwalo na liwe nimwage mitusi humu..... Mungu azidi kunipa uvumilivu.