Taarifa ya Msiba..

Pole sana Mkuu.
Lakini hii concept ya bwana kutoa na kisha kutwaa inahitaji mjadala hii.
 
Pole sana mkuu, mwenyezi Mungu akupeni faraja na subra katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.
 
Pole xxana mkubwa...
Mungu akutie nguvu nna faraja...
Tuko pamoja.
 
Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Baba yake Mzee wa Kula kwa Tindo pahali panapomstahili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…