Taarifa ya Kupotea kwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika

Taarifa ya Kupotea kwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika

Km ni kwel hajulikan alipo, TISS wafanye kazi.yawezekana kuna mchezo unaandaliwa na Mataifa ya Magharibi.
Hujuma kuptia ziwa Nyasa inaandaliwa
Mbona unaanza wewe kufanya kazi sasa!Unafundisha watu kazi?
 
MI NADHAN AMEPITILIZA KWA AJILI YA MATIBABU YA TEZI DUME MAANA SIO KILA RAIS ANA UJASIRI WA KUUTANGAZIA UMMA KAMA JK
 
Nguo zake pengine zimelowekwa na bado hazijafuliwa.... mnataka atembee uchi? Mbona Slaa mlimuelewa!
 
Wapi nmefundsha watu kufnya kazi?
Kuwa kazin haimaanishi hupokei maoni/mapendekezo ya watu wasiohusika na io kazi.
nmetoa maoni yngu Kaka!!!
Umesema hujuma kupitia ziwa nyasa inaandaliwa.Ina maana umelijuaje hilo suala mkuu?
 
Mh!....

.................Rais kapotea................

.................Tangu Septemba 15!

Connecting.............

..............loading...
 
Umesema hujuma kupitia ziwa nyasa inaandaliwa.Ina maana umelijuaje hilo suala mkuu?

1.Km ni kwel(kwel/sio kwel)
2. yawezekana kuna mchezo unaandaliwa na Mataifa ya Magharibi(wazo Sahihi/sio sahihi)
cjathbtsha wala cna hakika.
Io ni km hypothesis tuu yaweza kuwa sahih ama sio sahih.
 
NASA wamemchukua kama mtu wa majaribio kwenda kuishi sayari ya mars then after 6 weeks he'll be back
 
Back
Top Bottom