LTN USU WA MADOSO
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,193
- 859
nosenseacha kusapoti ujinga wewe vijana walio na vyeti wapo mtaani ninyi majina tofauti tofauti ndio mpo ofisini nenda kalime tuu mkuu Necta wanakuja...
nosenseacha kusapoti ujinga wewe vijana walio na vyeti wapo mtaani ninyi majina tofauti tofauti ndio mpo ofisini nenda kalime tuu mkuu Necta wanakuja...
umeongea point mkuuKumpa nchi mtu ambae hakujiandaa ndio matatizo yake haya hana mipango na mkakati
Mnatesa Wananchi Na Uhakiki wenu usioisha
Wanarudi kuhakikiiWatumishi ambao wako masomoni itakuwaje naona.au ndo naenda rudi.
Hahaaaa MpwaHawa nao hawajielewi,mfano cheti changu kimetolewa na udsm,hao tcu wanawezaje kudhibitisha uhalali wa cheti changu pasipo udsm wenyewe?
Mkuu hilo swali mimi nimejiuliza, TCU au NACTE, wataweza vipi kuhakiki cheti cha UDSM, UDOM, DIT, IFM et al, wakati wao hawatoi vyeti? Kwa upande wa NECTA ni sawa, lakini siyo TCU au NACTE.Hawa nao hawajielewi,mfano cheti changu kimetolewa na udsm,hao tcu wanawezaje kudhibitisha uhalali wa cheti changu pasipo udsm wenyewe?
MmhhhWanarudi kuhakikii
Haujui tu usumbufu wake, unakuta upo likizo inabidi kukatisha,vurugu kwa sababu hawana utaratibu mzuri, huduma kutotolewa kwa usahihi hasa mahospitali kila mtu anataka akahakiki kwanza, watumishi walioko vyuoni ndo shida wikii hii watu warirudi kwa ajiri ya form zilizotolewa tar 3 wamejaza wamerud mavyuoni.Hii tena kwa miezi 6 sijui wanarudi mara ngapi hapo pigia mtu anaetoka Mwanza mbeya.Ukiwa na vyeti halali ulivovilowekea miguu kwenye beseni huna tatizo waje mchana au usiku alfajiri au jioni alasiri au adhuhuri,nyumbani au ugenini kanisani au msikitini mjini au kijijini. Njooni fasta
Huu uhakik is more than too much, mwaka huu nimehakikiwa Mara 10, sijui haya marundo ya copies za vyeti wanapeleka wapiUsumbufu tu, mbona wamehakiki maofisini
Halooo, nimekunote hapa, nakusubiri uje ifisini kwangu utasugua benchi, baadae nitakuomba uniletee TIN yako ili unyooke kabisa! Utalipa kodi zote ulizokwepa miaka ya nyuma.