Taarifa: Uhakiki wa vyeti vya kidato cha 4&6 kwa Walimu na Watumishi wa Umma

Sio kil

Sio kila cheti cha kitaaluma kinatolewa na NECTA. Nadhani ni Ualimu tu kama kuna taaluma nyingine sijui! Hivyo NECTA wanakagua vyeti walivyovitoa wao tu,
Uwe unasoma na kuelewa comment za watu kabla hujajiingiza kichwa kichwa kujibu kitu usichokijua!.....unadhani ndio nini??
 
Eti kwa "Walimu" na watumishi wengine wa umma. Hii kada ya Ualimu mmmmh
Huitaji kuumiza kichwa kufikiria why wametaja Walimu labda kama ufahamu wako ni mdogo
NECTA wanakwenda kuhakiki vyeti vyao na hivyo vyeti watakavyo hakiki ni vile vinavyotolewa na wao kupitia mitihani yao hivyo basi NECTA wamewataja walimu kwa kua ni wao ndio wanaotoa mitihani ya Diploma na certificate (Sasa hivi inaitwa Diploma in Primary Education) na baadae hu Award vyeti kwa successful candidate waliofauru, NECTA hawawez kuhakiki vyeti ambavyo hawajavitoa hivyo hata walimu wenye Degree hawatohakikiwa vyeti vyao vya Chuo Bali wataingia kwenye kundi la watumishi wa Umma
 
afadhali uhakiki uendelee tu kuna watumishi wengine wanatumia vyeti vya watu wengine ila wamekuwa na vichwa vigumu hawataki hata kuondoka hao nao watawafanyaje mie namfahamu mmoja yupo Taasisi nyeti hiyo
 
Back
Top Bottom