Taarifa: Uhakiki wa vyeti vya kidato cha 4&6 kwa Walimu na Watumishi wa Umma

Sasa kwa walimu imekuwa kelo,kila siku ni kubebelea mivyeti,kwani kwenye mafaili yao hakuna copy za ivyo vyeti,alafu si kuna walimu waliajiliwa wakiwa wanatokea vyuoni,lada wangesema kwa wale waliofanya appication wakahakikiwe vyeti vyao sawa,nasikia jana Dodoma wameitwa NIDA sasa sijui inakuwaje,watoto wanakosa vipindi kila siku,basi wawafate mashuleni kama wanataka kupiga cha juu,

Waziri hupo, hakuna ufisadi hapa,manage vikao sasa iv hakuna,more was kayaking umeona barua hiyo,wenzako wametengeneza dirrrrriiiiii huku ili wapate,au walipoenda kwenye interview vyeti hawakwendanavyo.

Mwalimu anamiaka 20 kazini leo ukamuhakiki,wangewahakiki wenye miaka mitano au kumi jamani,mbona walimu wamekuwa kama mpira wa kona,mnawasumbua watu wa watu kila siku kwenye halmashauli,wawafate huko huko mashuleni.

Wangeanza na sisi wajeda jamani,sasa sisi sijui wataangalia mwenye shabaha,sisi ujuzi ni kulenga tu
 
wawe wakweli hawa panyabuku wanaoongoza. walianza na uhakiki kwa kutumia waajiri, wakafuata uhakiki kwa kutumia timu ya katibu mkuu wizara ya utumishi, wakafuata uhakiki wa kielektroniki; sasa wanataka wafanye uhakiki usiojulikana wa vyeti!!!!! hivi hakiki zote zilizopita na hii ya kielektroniki hawakagui vyeti? ama kweli tanzania tuna mapanyabuku yanaongoza
 
pesa inayotumika kufanya uhakiki hewa ingelipa hao watumishi wapya wanaowaogopa kuwaajiri kwa kukosa pesa. kila siku uhakiki mpya, wanatumalizia michango tunayotoa ktk kodi zetu. wapumbavu sana hawa. nini mapungufu ya huu uhakiki wa kielekroniki ambayo wao(wanaotarajia kufanya uhakiki mpya) watayatatua. kumbe huu uhakiki wa kielekroniki hauna maana kabisa kwani hauko makini ktk vyeti vya watumishi. kama hauna maana, kwanini unafanyika? wanatumalizia pesa yetu hawa panyabuku
 
wawe wakweli hawa panyabuku wanaoongoza. walianza na uhakiki kwa kutumia waajiri, wakafuata uhakiki kwa kutumia timu ya katibu mkuu wizara ya utumishi, wakafuata uhakiki wa kielektroniki; sasa wanataka wafanye uhakiki usiojulikana wa vyeti!!!!! hivi hakiki zote zilizopita na hii ya kielektroniki hawakagui vyeti? ama kweli tanzania tuna mapanyabuku yanaongoza
Mkuu hili ni chaka la selekali kuwakopa, kukalia haki za watumishi wake, kwani kuna vitu selikali ingedaiwa kama zoezi hili lisingalikuwepo, kinyume cha hayo ni selikali kuwa na watu wenye fikra duni walio shindwa ku plan intervention moja inayo kamata taarifa zote kisha wakaendelea ku monitor.
 
Ukaguzi ni kwa wote.walio watumishi wa uma kasoro jw ambao utaratibu wao utapangwa baadae.kila wizara imeandaa mfumo wake na tarehe ya kuanza ndan a dedline
 
Mkuu hili ni chaka la selekali kuwakopa, kukalia haki za watumishi wake, kwani kuna vitu selikali ingedaiwa kama zoezi hili lisingalikuwepo, kinyume cha hayo ni selikali kuwa na watu wenye fikra duni walio shindwa ku plan intervention moja inayo kamata taarifa zote kisha wakaendelea ku monitor.
namshangaa kabisa huyu anayejiita mtumbua majipu, kuendelea kumuacha huma mama kairuki akiendelea kula mshahara wakati anatuingizia hasara watanzania kwa kuendesha hakiki nyingi tofauti zisizo na maana. kama zingekua na maana tusingekua na hakiki nyingi hivi, ingefanyika moja iliyoshiba ambyo kwanza ingeokoa pesa yetu, lakini pia ingekua na data zote zinazohitajika. huyu mama afukuzwe kazi; na kama hatafukuzwa ndani ya miezi michache iliyobaki ya mwaka huu, basi atakua ni ..de..mu.. wa mtumbua majipu. tumemchoka huyu mama mlafi, anatuharibia pesa
 
Someni hiyo barua vizuri, acheni mihemko na kukurupuka. Kinachokaguliwa ni VYETI VYA FORM 4, 6 NA VYETI VYA UALIMU. Ukaguzi utafanywa kwa watumishi WOTE
 
Tumieni maelezo ya huyu jamaa ndiyo yako sahihi la sivyo mtapotea. Ikumbukwe kwamba vyeti vyote vya form four na six vipo chini ya necta pamoja na vyuo vyote vya ualimu inchini. Kwahiyo usije ukafikiri wanakaguliwa walimu tu, bali kila aliye na cheti cha necta ukaguzi huo unamhusu

Acha kupotosha. Au waalimu kwako ni kiwango cha stashahada na astashahada?
 
Hili zoezi lingefanyia at once na lisingetumia Gharama ambazo tayari zimekwishatumika.
NIDA
NECTA

so far kwa nini haliwagusi wansiasa, inafahamika madudu mengi waliyonayo, kwa nini hawaguswi wao, kwa nini siyo Central govt, govt agency, public sector etc?
 
Someni hiyo barua vizuri, acheni mihemko na kukurupuka. Kinachokaguliwa ni VYETI VYA FORM 4, 6 NA VYETI VYA UALIMU. Ukaguzi utafanywa kwa watumishi WOTE
hata km ni hivyo vyeti...hii itakua mara ya pili sasa vikikaguliwa....watu wanakula night tuu...
 
Mhh mwishowe tutasema hii ni dili kwa maofisa husika. Kila kukicha Uhakiki, hivi mwisho lini? Juzi wanasema watatumia Vitambulisho vya Taifa, leo NECTA wamezuka na jingine jipya kabisa! Bila shaka hawa wanaohakiki wameshagundua goli lao la kujinufaisha kwa 'night allowance'.
Hivi hili zoezi lmeghalim taifa kias gan ad sahz
 
Back
Top Bottom