Taarifa: "Pascal Mayalla hajafiwa na Mke"!

Taarifa: "Pascal Mayalla hajafiwa na Mke"!

Status
Not open for further replies.
Mkuu pole sana. Naomba nikukumbushe uwe makini, ID hii huwa haichangii sana so usije ukajisahau ukadhani unatumia ID ileeeeee....utaharibu! Manake kuna siku ulijisahau ulitumia ID hii mwishoni ukamalizia na 'PASKO' ile ya kizungu.

Mkuu Mzito K, asante yako nimeipokea!, ila hata kama unamjua member fulani wa jf ana multiple ID's, kitendo tuu cha kumtaja ati asitumie ID ilee na kuitaja!, hiyo pia ni "name calling" by insinuations!.

Mimi ni verified member hapa JF, niko mimi tuu!, na hili ndio jina langu la ukweli kabisa!. Usinifananishe!, usinisingizie!, ila pia binadamu tumezaliwa waweili wawili, hata mimi niko mimi na yeye (me & I).

Pascal.
 
nimekuja fasta nikajua KUNA NAFASI ZIMETOKA ZA KUKAIMU KITI
Masai Dada, kwa sisi wa pande zile kula ninakotoka, usiwe na wasiwasi wa kukaimu, karibu tujumuike wote, wengine hatuna mwisho!, na kama ni kweli wewe ni binti wa Kimasai, then utakuwa hauna wivu, hivyo unaweza kujumuika na wenzio na amani ikawepo!, tuwasiliane kwa PM kwa ajili ya utekelezaji!.

Pascal
 
Kuna uhusiano gani kati ya paschal mayalla na Pasco wa jf.
Mkuu Molembe, wote wawili ni members wa jf, na wote ni wana habari, tofouti kubwa kati yetu mimi ni verified member, na ni mwandishi wa habari wa kiukweli kweli, nikiripoti habari za kweli tuu na kwenye media rasmi, yule Pasco wa jf, na yeye ni mwandishi ila anaripotia jf tuu, sometimes huweza kuleta habari za kubuni, kutunga na hata habari za hisia tuu!.

Uhusiano wa ziada ni tunafahamiana, tunashabihiana, na hata majina tunafanana, hivyo wengi kujikuta wakitufananisha!, ila kiukweli kabisa sisi ni watu wawili tofauti kama tulivyo mimi na yeye (me & I).

Pascal.
 
Masai Dada, kwa sisi wa pande zile kula ninakotoka, usiwe na wasiwasi wa kukaimu, karibu tujumuike wote, wengine hatuna mwisho!, na kama ni kweli wewe night binti wa Kimasai, then utakuwa hauna wivu, hivyo unaweza kujumuika na wenzio na amani ikawepo!, tuwasiliane kwa PM kwa ajili ya utekelezaji!.

Pasco
Haa haaa haaaaa!! Mkuu hata muda haujapita tangu mh.mzito kabwela akupe onyo naona umeteleza!!! Haa haa pole mkuu
 
Masai Dada, kwa sisi wa pande zile kula ninakotoka, usiwe na wasiwasi wa kukaimu, karibu tujumuike wote, wengine hatuna mwisho!, na kama ni kweli wewe ni binti wa Kimasai, then utakuwa hauna wivu, hivyo unaweza kujumuika na wenzio na amani ikawepo!, tuwasiliane kwa PM kwa ajili ya utekelezaji!.

Pascal

Ndipo unapomchanganya Mzito Kabwela na mimi, unajisahau...
 
Last edited by a moderator:
Haa haaa haaaaa!! Mkuu hata muda haujapita tangu mh.mzito kabwela akupe onyo naona umeteleza!!! Haa haa pole mkuu
Unavyofanya sio haki, yaani unani quote mimi Pascal na mwisho unabadili jina langu na kuweka la Pasco!, it is not fair!.

Pascal
 
Mkuu Molembe, wote wawili ni members wa jf, na wote ni wana habari, tofouti kubwa kati yetu mimi ni verified member, na ni mwandishi wa habari wa kiukweli kweli, nikiripoti habari za kweli tuu na kwenye media rasmi, yule Pasco wa jf, na yeye ni mwandishi ila anaripotia jf tuu, sometimes huweza kuleta habari za kubuni, kutunga na hata habari za hisia tuu!.

Uhusiano wa ziada ni tunafahamiana, tunashabihiana, na hata majina tunafanana, hivyo wengi kujikuta wakitufananisha!, ila kiukweli kabisa sisi ni watu wawili tofauti kama tulivyo mimi na yeye (me & I).

Pascal.

kumekucha,viswahili vimeshaanza.unanikumbusha lile bandiko lako lileeeeee!.la kutetea wezi wa......full mbwembwe za kiuandishi.basi sawa.
 
Mkuu Molembe, wote wawili ni members wa jf, na wote ni wana habari, tofouti kubwa kati yetu mimi ni verified member, na ni mwandishi wa habari wa kiukweli kweli, nikiripoti habari za kweli tuu na kwenye media rasmi, yule Pasco wa jf, na yeye ni mwandishi ila anaripotia jf tuu, sometimes huweza kuleta habari za kubuni, kutunga na hata habari za hisia tuu!.

Uhusiano wa ziada ni tunafahamiana, tunashabihiana, na hata majina tunafanana, hivyo wengi kujikuta wakitufananisha!, ila kiukweli kabisa sisi ni watu wawili tofauti kama tulivyo mimi na yeye (me & I).

Pascal.

Mkuu wewe ni verified member wapi?Mbona sioni hapa verification status kwenye username yako kama ilivyo wengine?Au umejiverify mwenyewe Bwana Pasco?
 
Labda walikuwa wanakupa pole ya yule mkeo Mwandishi wa habari aliyekukimbia na kwenda Marekani.
Mkuu Karumekenge, ni kweli, wengi walidhania ni wife wa US!.

NB to put things clear, hajanikimbia!, ni mimi ndio nilimpeleka!, ni mimi ndio nilikuwa namlipia shule!, ni mimi ndio nilikuwa namlipia up keep!, ila aliamua kubakia US na mimi nikaamua kurejea Tanzania, mpaka leo, mpaka kesho bado ni wife wangu!, hajanikimbia!, na ndoa yetu bado ipo intact!.

Pascal.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom