Mungu ampe nafuu,, nanyi waandishi sasa ni wakati wa kuwa wamoja isije kuwa kama wakati wa Mwangosi mnatoa tamko la kuacha kuripoti taarifa za Polisi (Iringa) then tunashuhudia kwenye vyombo vingine wanafanya hivyo alhali mwenzenu alifanyiwa kiu mbaya sana.
Neville, I have trust in you kwamba wewe ni jasiri, waongoze wenzio katika kipindi hiki kigumu...vyeo vya U-kuu wa Wilaya wanavyowafutia machozi (wanavyopewa hasa wale wanaojipendekeza kwa wakubwa aka the Salva and Muhingos) ni dhihaka kwa taaluma yenu.
My take:
Pole Kibanda, Inshallah Mungu atakuponya haraka ujumuike na familia yako mapema ukiwa buheri.