Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
By CHADEMA
TAARIFA: Heshima ya mwisho kwa mpendwa wetu Bob N. Makani zitatolewa kesho; Juni 11, 2012 kuanzia saa 6 mchana, Viwanja vya Karimjee Dar es Salaam
UDATES:
Kwa mjibu wa vyanzo vikuu vya habari vya CHADEMA,
Taarifa rasmi ya ratiba kamili ya msiba huu mkubwa wa mwasisi wa Chama cha Ukombozi mpya wa Tanzania (CHADEMA) itatolewa wakati wowote kuanzia sasa!
Taifa liungane katika msiba huu!
TAARIFA: Heshima ya mwisho kwa mpendwa wetu Bob N. Makani zitatolewa kesho; Juni 11, 2012 kuanzia saa 6 mchana, Viwanja vya Karimjee Dar es Salaam
UDATES:
Kwa mjibu wa vyanzo vikuu vya habari vya CHADEMA,
Taarifa rasmi ya ratiba kamili ya msiba huu mkubwa wa mwasisi wa Chama cha Ukombozi mpya wa Tanzania (CHADEMA) itatolewa wakati wowote kuanzia sasa!
Taifa liungane katika msiba huu!