WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Wakuu habari za mchana wa leo?!
Mimi ni mfugaji wa samaki na hatua waliyofikia sasa ni kuliwa,kwa wanaohitaji Tafadhali wani-PM kwa ajili ya mawasiliano zaidi.
Lakini pia nakaribisha ushauri na hasa maoko kwa ajili ya kuwasambaza ama mashirika na taasisi zitakazohitaji.
Hapa wakti nikiwapatia chakula.
Hapa wakiendelea kuburudika.
Mimi ni mfugaji wa samaki na hatua waliyofikia sasa ni kuliwa,kwa wanaohitaji Tafadhali wani-PM kwa ajili ya mawasiliano zaidi.
Lakini pia nakaribisha ushauri na hasa maoko kwa ajili ya kuwasambaza ama mashirika na taasisi zitakazohitaji.
Hapa wakti nikiwapatia chakula.
Hapa wakiendelea kuburudika.