Taarifa kwa wana chitchat wote

Unafurahia mateso ya mwenzio sio?
Kumbuka kila mla cha wenzie na chake huliwa.

hebu shindwa na ulegee kwa jina lako mwenyewe, nani anakula vya mwenzie. lini na wapi mi nikawa mali ya wns au ndo alikuwa anasotea. . . na bdo mtavimba mpasuke me na MtotoSix ndo kwanza kunakucha ati. . .
 
Last edited by a moderator:
We ulitaka asemeje kwan si amempa pole inatosha hebu bana bishanga ustake kuleta za kanyigo

nashanga bibi, sijui alitaka nkambembeleze mod amwachie lol. sina muda ati, saiv niko busy na MtotoSix kwa raha zetu!
 
Last edited by a moderator:
We ulitaka asemeje kwan si amempa pole inatosha hebu bana bishanga ustake kuleta za kanyigo

Nimekereka...no wonder segerea,maweni,isanga,butimba etc asilimia kubwa ya inmates kwa namna moja ama nyingine wameponzwa na wanawake,yaani mwenzio unamgeuza ndom ukishamtumia unatupa kurrrreeeee,poor wns.
 
Nawe mfikishie salamu,
mwambie wanaume hawashindani kwa kujibizana maneno,
wanashindana kwa kuhonga na kuopoa mademu wazuri.
Ila tutam-miss.

St. Paka Mweusi rafikio katangulia,
utacheza kombolela na nani?
Shauriro.

:biggrin1::biggrin1:
 
Last edited by a moderator:
hebu shindwa na ulegee kwa jina lako mwenyewe, nani anakula vya mwenzie. lini na wapi mi nikawa mali ya wns au ndo alikuwa anasotea. . . na bdo mtavimba mpasuke me na MtotoSix ndo kwanza kunakucha ati. . .

Mtoto6 angejua. Ngoja nimwite Mamndenyi aje amshauri kiutu uzima.
 
Last edited by a moderator:
Nimekereka...no wonder segerea,maweni,isanga,butimba etc asilimia kubwa ya inmates kwa namna moja ama nyingine wameponzwa na wanawake,yaani mwenzio unamgeuza ndom ukishamtumia unatupa kurrrreeeee,poor wns.

Nin sasa kujambishwa ajambishwe mwingne we tumbo lakuuma nin sasa hebu yangoswe muachie ngoswe bishangaa hii ngoma yao waache wacheze wenyewe
 

Mwambie time is now mi nipo memmis pia ila mwambie roho yake mbaya na alivonipondea juzijuzi hapa pia imemcost
 
Last edited by a moderator:
Nin sasa kujambishwa ajambishwe mwingne we tumbo lakuuma nin sasa hebu yangoswe muachie ngoswe bishangaa hii ngoma yao waache wacheze wenyewe

Wanaume tumeumbwa,mateso kuhangaika.
(Source: msondo ngoma).
 
Nimekereka...no wonder segerea,maweni,isanga,butimba etc asilimia kubwa ya inmates kwa namna moja ama nyingine wameponzwa na wanawake,yaani mwenzio unamgeuza ndom ukishamtumia unatupa kurrrreeeee,poor wns.

fyi wns sijawah kumkubali,sasa hyo kauli ya kwamba nimemtumia inatoka wapi mkuu. ni kweli alionesha nia ya dhati lakini me sikutaka kuwa mnafiki nikamwambia ukweli kuwa simpendi. swali kwako. je ulitaka nimdanganye danganye tu ?????
 

Mpe pole .
 
Last edited by a moderator:
Nimekereka...no wonder segerea,maweni,isanga,butimba etc asilimia kubwa ya inmates kwa namna moja ama nyingine wameponzwa na wanawake,yaani mwenzio unamgeuza ndom ukishamtumia unatupa kurrrreeeee,poor wns.

Bishanga kwani ndo mara yako ya kwanza kusikia mwanamke anamtosa jamaa mwingine laivu laivu anajisalimisha kwa mwanaume mwingine? unadhani Rkelly alipokuwa anaimba When woman loooooooooooooves She loves for............(malizia)
 
Last edited by a moderator:
tulimpenda lakini modereta kampenda zaidi mwambie apumzike salama.
 

mpenzi nshafika tukapate kifungua kinywa, maana hapa mahasidi ni wengi, hawataki kuona penzi letu changa linachanua, wapunguze tu wivu, kila adam kaumbiwa eva wake wa kumpenda, kama umemkosa charminglady basi ujue Mungu kakuepusha na mabaya kama kudanganywa danganywa...........twendezetu mama
 
Last edited by a moderator:
Mpe pole mwambie akija ajiite wakati ndio ule maana wakati wake utakuwa umeshapita
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…