CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Unafurahia mateso ya mwenzio sio?
Kumbuka kila mla cha wenzie na chake huliwa.
We ulitaka asemeje kwan si amempa pole inatosha hebu bana bishanga ustake kuleta za kanyigo
We ulitaka asemeje kwan si amempa pole inatosha hebu bana bishanga ustake kuleta za kanyigo
Nawe mfikishie salamu,
mwambie wanaume hawashindani kwa kujibizana maneno,
wanashindana kwa kuhonga na kuopoa mademu wazuri.
Ila tutam-miss.
St. Paka Mweusi rafikio katangulia,
utacheza kombolela na nani?
Shauriro.
Mzima tuuu kwakweli nafurah kukuona mwenye afya tele na furahaasante mpnz! hujambo lakini. . . .
Nimekereka...no wonder segerea,maweni,isanga,butimba etc asilimia kubwa ya inmates kwa namna moja ama nyingine wameponzwa na wanawake,yaani mwenzio unamgeuza ndom ukishamtumia unatupa kurrrreeeee,poor wns.
nashanga bibi, sijui alitaka nkambembeleze mod amwachie lol. sina muda ati, saiv niko busy na MtotoSix kwa raha zetu!
Jamani nimepigiwa simu na rafiki yangu anaye julikana kwa jina la wakati ndio sasa kanituma niwataalifu wanachitchat kuwa kuanzia leo amepigwa ban hadi tarahe 9 Sept hii imetokana na kuchangia kwa jaziba katika ile post iliyo kuwa inahusu wapiga mzinga.aidha kanituma niwafikishie salamu hizo wote hasa St. Paka Mweusi na beibe nasty pia amedai pamoja na yeye kuwa kifungoni mapenzi yake kwa charminglady hayatakoma kamwe.
Nawasilisha
Nin sasa kujambishwa ajambishwe mwingne we tumbo lakuuma nin sasa hebu yangoswe muachie ngoswe bishangaa hii ngoma yao waache wacheze wenyewe
Nimekereka...no wonder segerea,maweni,isanga,butimba etc asilimia kubwa ya inmates kwa namna moja ama nyingine wameponzwa na wanawake,yaani mwenzio unamgeuza ndom ukishamtumia unatupa kurrrreeeee,poor wns.
Jamani nimepigiwa simu na rafiki yangu anaye julikana kwa jina la wakati ndio sasa kanituma niwataalifu wanachitchat kuwa kuanzia leo amepigwa ban hadi tarahe 9 Sept hii imetokana na kuchangia kwa jaziba katika ile post iliyo kuwa inahusu wapiga mzinga.aidha kanituma niwafikishie salamu hizo wote hasa St. Paka Mweusi na beibe nasty pia amedai pamoja na yeye kuwa kifungoni mapenzi yake kwa charminglady hayatakoma kamwe.
Nawasilisha
Nimekereka...no wonder segerea,maweni,isanga,butimba etc asilimia kubwa ya inmates kwa namna moja ama nyingine wameponzwa na wanawake,yaani mwenzio unamgeuza ndom ukishamtumia unatupa kurrrreeeee,poor wns.
Bishanga tatizo lenu wanaume hampendi kuambiwa ukweli, mnapenda kuwekwa ma-spare tyre. mie sina tabia ya unafiki tangu mwanzo nilimpa wakati ndio sasa black n white kwamba me sim-feel hata kidogo ama ulitaka nimdanganye danganye. aku babu ee sijafunzwa hvo hata kidogo. nina haki ya kumpenda nimtakaye. MtotoSix uko wapi beibe wangu hebu njoo huku tukafungue kinywa!!!!!
Nimesha rudi wadau.Bado nalia na charminglady