Pole sana.Just by norm..
Kichaa na mjinga hawatakiwi kupewa uhuru usio na mipaka kwa sababu hawana akili ya busara.
Mawazo ya namna hii hayana tofauti na hao unaowaita "vichaa"; inawezekana hujui maana ya neno 'mjinga' unavyolitumia hapa. Inaonyesha dhahiri dhana unayoitetea ikawa ndiyo ya kijinga kabisa.