Tatizo mfumo huu wa uongozi huwa ni wa pure ujamaa na ujamaa si mfumo rafiki kwa wafanyabiashara.Kila kitu kina makusudio yake...
VP Mpango ni upande wa pili wa shilingi kwa JPM
Usishangae kwa baadae VP akaogopeka nchini + taasisi + maofisini kuliko mkuu wa nchi.
Huyu Mh ni noma.....nilipoanza kuuona ukorofi wake ni wakati ule akizungumza na mameneja wa TRA mikoa ya nchi nzima kwa lugha ya kijeuri jeuri...akafukuza na watumishi