Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,701
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amehudhuria ibada takatifu ya kuadhimisha sikukuu ya Pasaka Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dodoma.
Mheshimiwa Mpango akiwa ibadani hapo alipata fursa ya kuzungumza na Waamini walioshiriki pamoja na Watanzania
Mheshimiwa Mpango akiwa ibadani hapo alipata fursa ya kuzungumza na Waamini walioshiriki pamoja na Watanzania