Taarifa kwa Umma: Maandamano kesho yanaendelea

Taarifa kwa Umma: Maandamano kesho yanaendelea

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,395
Leo maandamano yamefanikiwa kwa udogo sana kwa Dsm Tegeta wamefanikiwa.

Mwanza wametuwakilisha Vyema sana wametoka kwa wingi

Kesho tunaanza upyaaa!!! Maandamano yataendelea kila siku hadi tarehe 25 Xmass na mwaka mpya 2026.

Mliopo karibu na Samuya mwambieni Gen Z hatujafa, watanzania hawajafa na tutaendelea tulipoishia.

December 10 kesho maandamano yapo kama kawaida!!
 
Leo maandamano yamefanikiwa kwa udogo sana kwa Dsm Tegeta wamefanikiwa.

Mwanza wametuwakilisha Vyema sana wametoka kwa wingi

Kesho tunaanza upyaaa!!! Maandamano yataendelea kila siku hadi tarehe 25 Xmass na mwaka mpya 2026.

Mliopo karibu na Samuya mwambieni Gen Z hatujafa, watanzania hawajafa na tutaendelea tulipoishia.

December 10 kesho maandamano yapo kama kawaida!!
Inabidi uoneshe wapi yalianza ili upate haki ya kusema kwamba kesho yanaendelea.

Labda useme maandamano yanaanza kesho
 
Leo maandamano yamefanikiwa kwa udogo sana kwa Dsm Tegeta wamefanikiwa.

Mwanza wametuwakilisha Vyema sana wametoka kwa wingi

Kesho tunaanza upyaaa!!! Maandamano yataendelea kila siku hadi tarehe 25 Xmass na mwaka mpya 2026.

Mliopo karibu na Samuya mwambieni Gen Z hatujafa, watanzania hawajafa na tutaendelea tulipoishia.

December 10 kesho maandamano yapo kama kawaida!!
Mwendo Mpera Mpera mpaka wateme BUNGO.

Kesho wakiondoa curfew ndipo hapo hapo Gen Z wanakinukisha.
 
Screenshot_20250719-172139~2.jpg
 
Leo maandamano yamefanikiwa kwa udogo sana kwa Dsm Tegeta wamefanikiwa.

Mwanza wametuwakilisha Vyema sana wametoka kwa wingi

Kesho tunaanza upyaaa!!! Maandamano yataendelea kila siku hadi tarehe 25 Xmass na mwaka mpya 2026.

Mliopo karibu na Samuya mwambieni Gen Z hatujafa, watanzania hawajafa na tutaendelea tulipoishia.

December 10 kesho maandamano yapo kama kawaida!!
Mwanza ipi?
 
Haya mandamano no not stop so askari waendelee kukaa hivyo hivyo barabarani
Yes ,hii ni plan B kwamba ya kutoka barabarani imeshindikana kwasababu ya curfew basi ,plan B ni kwamba daily ni siku ya maandamano ili wao waendelee kushinda juani huku Gen Z wakishinda ndani ,shughuli za uchumi hazifanyiki tuone nani anayeathirika zaidi.

Kwa mbinu hii ya kutangaza maandamano daily ndiyo ambayo Gen Z watashinda maana WAHUNI wanaona curfew ndiyo solution ,je watafanya curfew daily? Hapana so lazima WATEME BUNGO.
 
Yes ,hii ni plan B kwamba ya kutoka barabarani imeshindikana kwasababu ya curfew basi ,plan B ni kwamba daily ni siku ya maandamano ili wao waendelee kushinda juani huku Gen Z wakishinda ndani ,shughuli za uchumi hazifanyiki tuone nani anayeathirika zaidi.

Kwa mbinu hii ya kutangaza maandamano daily ndiyo ambayo Gen Z watashinda maana WAHUNI wanaona curfew ndiyo solution ,je watafanya curfew daily? Hapana so lazima WATEME BUNGO.
Kabisa
 
Leo maandamano yamefanikiwa kwa udogo sana kwa Dsm Tegeta wamefanikiwa.

Mwanza wametuwakilisha Vyema sana wametoka kwa wingi

Kesho tunaanza upyaaa!!! Maandamano yataendelea kila siku hadi tarehe 25 Xmass na mwaka mpya 2026.

Mliopo karibu na Samuya mwambieni Gen Z hatujafa, watanzania hawajafa na tutaendelea tulipoishia.

December 10 kesho maandamano yapo kama kawaida!!
Huyo Samuya yupo kweli?anashindwa hata kutupa salamu za Uhuru,ngoja ataona, tunamsubiria X-mass na mwaka mpya aje atusalimie
 
Kukosa kazi ni kazi kubwa.

Semeni plan yenu ni kujichanganya na watu, kuleta vurugu ili kundi lote livamiwe muonekane mlikuwa wengi mnaosupport fujo za kipuuzi.

Leo mmeumbuka, hakuna kokote Mwanza walipoandamana wala Tegeta, mnatumiana clip zilizopita kujipa moyo.

Kaa chini plan maisha yako kijana, Tanzania hii opportunities zipo nyingi. Kufuata mkumbo hakutakupeleka kokote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom