Taarifa kwa umma kuhusu vyeti vya kughushi

Taarifa kwa umma kuhusu vyeti vya kughushi

KIGILAGILA

Senior Member
Joined
Aug 5, 2013
Posts
164
Reaction score
38
Nimesona gazeti la leo Mwananchi taarifa kwa Umma Kuhusu vyeti vya Kughushi VETA na majina yao yametolewa.

Kwa kweli inasikitisha na ndio maana kazi zinakua adimu ndugu zetu hawapati kazi ukiangalia hapo ni VETA tu lundo wamefoji je Vyuo vingine duh inabidi serikali wachukulie hili ni janga waliekee mikakati dhabiti la sivyo ambao awajasoma watakuwa makazini na waliosoma wapo mitaani na ndio maana hatuendelea hakuna ufanisi.

nawapongeza Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya ufundi Stadi VETA kwa kufichua uozo huo.
 
Na ndivyo ilivyo wengi wa walioko makazini kama sio wanatumia vyeti ambavyo sio vyao basi ni vyeti feki.
ila maisha yanaendelea tu, hii ndio Tanzania.
 
Shida ni kukosa mkono wa kiutendaji. Mtu anayefoji cheti anapaswa kukamatwa na kushitakiwa. Kama itaishia kuwanyima kazi, haka kamchezo kataendelea
 
m naomba wakague wafanyakazi wa mikoani na mipakani vyeti feki ni vingi
 
Tunahitaji kuwa na mkakati wa kitaifa wa ku-check vyeti vyote.Nakubaliana na wewe 100% kwamba hili ni janga la kitaifa.Sina shaka yeyote kwamba utendaji mbovu uliopo serikalini unachangiwa kwa sehemu kubwa na tatizo hili.Any serious government would consider this a serious issue.
Nimesona gazeti la leo Mwananchi taarifa kwa Umma Kuhusu vyeti vya Kughushi VETA na majina yao yametolewa.

Kwa kweli inasikitisha na ndio maana kazi zinakua adimu ndugu zetu hawapati kazi ukiangalia hapo ni VETA tu lundo wamefoji je Vyuo vingine duh inabidi serikali wachukulie hili ni janga waliekee mikakati dhabiti la sivyo ambao awajasoma watakuwa makazini na waliosoma wapo mitaani na ndio maana hatuendelea hakuna ufanisi.

nawapongeza Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya ufundi Stadi VETA kwa kufichua uozo huo.
 
Back
Top Bottom