kama kweli Chadema walikuwa na nia nzuri wangeanza kufutilia issue hii kabla ya madaktari hawajagoma, kuhijack hoja si vizuri. Kuna wengine wengi tu wana matatizo hayo, wawasemee basi, sio kusubiri mpaka wameamua kugoma. Siungu mkono kupoliticize mgogoro wa madaktari na serikali.