Shirika la umeme nchini limetangaza katizo la umeme kwa mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Pembaa kwa siku mbili.
Katizo hili litakuwa tarehe 26 na 27 September 2015 saa moja kamili asubuhi mpaka 12 jioni. Sababu ni kufanya marekebisho makubwa kituo cha Njiro na KIA.
Katizo hili litakuwa tarehe 26 na 27 September 2015 saa moja kamili asubuhi mpaka 12 jioni. Sababu ni kufanya marekebisho makubwa kituo cha Njiro na KIA.
Last edited by a moderator: