ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,681
Habarini!
Naomba Kujua Natakiwa kufanya nini kwasababu cheti cha O-Level na Transcript kutoka Nacte Majina Hayafanani Kile Cha Nacte Kimekosewa Nikifanya Application Inakataa nini natakiwa kufanya ili niweze kufanya application? Ukizingatia na muda wa kufanya maombi unaisha?
Msaada Tafadhari
Naomba Kujua Natakiwa kufanya nini kwasababu cheti cha O-Level na Transcript kutoka Nacte Majina Hayafanani Kile Cha Nacte Kimekosewa Nikifanya Application Inakataa nini natakiwa kufanya ili niweze kufanya application? Ukizingatia na muda wa kufanya maombi unaisha?
Msaada Tafadhari