TAARIFA HAZIFANANI NACTE

TAARIFA HAZIFANANI NACTE

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,681
Habarini!

Naomba Kujua Natakiwa kufanya nini kwasababu cheti cha O-Level na Transcript kutoka Nacte Majina Hayafanani Kile Cha Nacte Kimekosewa Nikifanya Application Inakataa nini natakiwa kufanya ili niweze kufanya application? Ukizingatia na muda wa kufanya maombi unaisha?

Msaada Tafadhari
 
Nche
Habarini!
Naomba Kujua Natakiwa kufanya nini kwasababu cheti cha O-Level na Transcript kutoka Nacte Majina Hayafanani Kile Cha Nacte Kimekosewa Nikifanya Application Inakataa nini natakiwa kufanya ili niweze kufanya application? Ukizingatia na muda wa kufanya maombi unaisha?
Msaada Tafadhari

Ncheki 0654327260
 
Back
Top Bottom