Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,705
Taarifa: ATCL Wazindua Ukumbi wa Kisasa Uliopo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Leonard Chamlilo leo Mei 21, 2021 amezindua rasmi Ukumbi wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Twiga Business Lounge" ambao upo kwenye Jengo la 3 la abiria Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
Hongera Mama Samia Suluhu Hassani
Matumizi Sahihi ya Rasilimali Zetu Huleta Matokeo Chanya Kwa Walio Wengi
Kazi iendelee
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Leonard Chamlilo leo Mei 21, 2021 amezindua rasmi Ukumbi wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Twiga Business Lounge" ambao upo kwenye Jengo la 3 la abiria Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
Hongera Mama Samia Suluhu Hassani
Matumizi Sahihi ya Rasilimali Zetu Huleta Matokeo Chanya Kwa Walio Wengi
Kazi iendelee