aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,499
habari wana jf......mm msaka ajira nilibahatika kwa mara ya kwanza baada ya kukaa miaka miwili home after graduu. kuitwa kwenye usaili bima ya afya na post ilikuwa "temporary employment" na pepa yenyewe ilikuwa nyanya kama si masalo......ss naona kimya if kuna mwenye taarifa kama vijana wameshaitwa kuanza kazi niambieni maana haya matumaini niliyonayo niyaondoe coz mwaka unakatika huuu.......plz mwenye info ani