Nadhani hata humu ni mahala sahihi pakutolea taarifa hii:
Kumekuwa na wimbi la utapeli unaofanyika na watu wanaojipambanua kuwa wanahusika na kampuni ya usambazaji wa mayai ya kisasa, watu hawa huwaambia wateja watume fedha nusu kwa kiasi cha idadi ya tray za mayai wanazotaka then nusu iliyobaki watawalipa watakapofikisha mzigo sehemu husika hivyo mtu akituma hiyo fedha basi imekuwa ameshatapeliwa.
Namba anayotumia kufanya utapeli ni 0786869108 mtu huyu anasema yupo Kisiju na Mbeya.
Hivyo vyombo husika tunaomba mshughulikie suala hili kikamilifu.
Kumekuwa na wimbi la utapeli unaofanyika na watu wanaojipambanua kuwa wanahusika na kampuni ya usambazaji wa mayai ya kisasa, watu hawa huwaambia wateja watume fedha nusu kwa kiasi cha idadi ya tray za mayai wanazotaka then nusu iliyobaki watawalipa watakapofikisha mzigo sehemu husika hivyo mtu akituma hiyo fedha basi imekuwa ameshatapeliwa.
Namba anayotumia kufanya utapeli ni 0786869108 mtu huyu anasema yupo Kisiju na Mbeya.
Hivyo vyombo husika tunaomba mshughulikie suala hili kikamilifu.