Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Kwa wale wasafiri mnaotumia gari binafsi kutoka mikoa ya arusha na kilimanjaro kuja dar mnatakiwa kuwa makini sana katika kuendesha maana gari ndogo ni nyingi sana barabarani zinatoka mikoa tofauti hususani dar kuelekea moshi na arusha pia sio wote ni madereva wazoefu wa kundesha safari ndefu wengine ndio kwanza wamenunua gari wanamcheche wakwenda kutanua makwao.