FF ni rahisi sana kumsadia mjinga utamwelewesha na atakuelewa kuliko kuanza kujadiliana na mpumbavu kama huyu ambaye hajui kama anauza kibatari,mwenge, chemli,solar, vijinga vya moto,taa za betri yeye anataka watu wampm. Kwani tunatongozana hapa!? Kama ni biashara ajimwage uwanjani kama wenzake sio mashairi ya kutongezea ma haouse girl hapa.