T mobile Samsung galax s9 inasumbua.

tiku

JF-Expert Member
Oct 31, 2015
441
244
Ndugu wana JamiiForums forum naomba msaada kwa mwenye kujua Jinsi ya kurekebisha hiyo simu. Ilikuwa na line mbili inashida ya network kwenye upande wa data , ila kupiga inafanya kazi kama kawaida. Na net ilikuwa inashika kwa baad hi ya maeneo na mengine haishiki hasa sehemu nayoishi. Nikapeleka kwa fundiakabadilisha file kwakuwa alisema original yake ni file ya line 1. Akabadili file ikiwa simu Ina line moja na fundi akanihakikishia akizeeka file la line 1 itakuwa imepona kabisa sasa Alivobadili file ikiwa haishiki kabisa nikamuomba arudishe file la zaman kwakuwa nilikuwa naweza kupiga na mesage sasa kashindwa anasema simu imekuwa updated na inavitu vingine zaidi ambapo file hilo amelitafuta halioni tena mfano anasema kuna kitu kina iets binary kabla hajabadili file ilikuwa ina binary 3 na baada ya kubadili na ku up to date I kawa na binary 4 . Simu umekuwa sio simu tena naomba msaada. Mwenyekujua ma I. T karibu ni kina chief Mkwawa na wengine mnaojua nisaidien , kama kuna file lingine anaweza EK’s na Ilses mzima kama mwanzo.
 
Hapo huyo fundi alikua hajui au alikua anataka kukupiga hela tu. T mobile Samsung zinasumbua network huku bongo sababu hazina band zinazohitajika, hakuna file lolote linaloweza badilisha hyo kitu. Ni issue ya hardware.
 
Hiyo ndo faili jipya ambalo ni line 1 na haishiki simu.
 
Hiyo ndo faili jipya ambalo ni line 1 na haishiki simu.
Hyo simu haitakuja shika network huku bongo. Labda ukatafte motherboard ya International model ndio itashika network
 
Ku clarify mkuu haitashika 3g Sababu kibongo bongo tunatumia band 2100 na Tmobile ni band 1700, ila 2g na 4g zinashika kama kawaida Sababu 4g wametoa huu ukiritimba wa kuhodhi band moja. Hio 1700 dunia nzima anatumia T mobile mwenyewe.

Sema hawa jamaa Wana Roho mbaya kweli, siku hizi wameanza kamchezo ka kugawanyisha band ya kudownload na ku upload ili kufanya maisha yazidi kuwa magumu.

Sijui alichofanya huyo jamaa ila Kikawaida hizi simu refurbished huwa zinaguswa sana, inawezekana hio rom walioeka ndio ilikuwa wamei modify kukuwezesha wewe kupata network ila baada ya kutoa na kuweka yake ambayo ni ya Tmobile simu imerudi network lock.

Cha kuanzia nacho mkuu ni jaribu kuflash lakini na njia ya File 3 badala ya moja, ama atleast File la modem liwemo, ukiflash modem sometime inaweza ku solve mambo yanayohusiana na network.

Thread Niliyo pata yenye modem ni hii tu

Tena ni za aosp ina maana zitahitaji custom rom,

Ama kama unaona mwenyewe ni ngumu tafuta fundi mzuri ambaye Ana box zuri anajejua kuitumia, box zinakuwa na pre made solutions nyingi.
 
Ku clarify mkuu haitashika 3g Sababu kibongo bongo tunatumia band 2100 na Tmobile ni band 1700, ila 2g na 4g zinashika kama kawaida Sababu 4g wametoa huu ukiritimba wa kuhodhi band moja. Hio 1700 dunia nzima anatumia T mobile mwenyewe.

Sema hawa jamaa Wana Roho mbaya kweli, siku hizi wameanza kamchezo ka kugawanyisha band ya kudownload na ku upload ili kufanya maisha yazidi kuwa magumu.

Sijui alichofanya huyo jamaa ila Kikawaida hizi simu refurbished huwa zinaguswa sana, inawezekana hio rom walioeka ndio ilikuwa wamei modify kukuwezesha wewe kupata network ila baada ya kutoa na kuweka yake ambayo ni ya Tmobile simu imerudi network lock.

Cha kuanzia nacho mkuu ni jaribu kuflash lakini na njia ya File 3 badala ya moja, ama atleast File la modem liwemo, ukiflash modem sometime inaweza ku solve mambo yanayohusiana na network.

Thread Niliyo pata yenye modem ni hii tu

Tena ni za aosp ina maana zitahitaji custom rom,

Ama kama unaona mwenyewe ni ngumu tafuta fundi mzuri ambaye Ana box zuri anajejua kuitumia, box zinakuwa na pre made solutions nyingi.

Hiyo ndo faili jipya ambalo ni line 1 na haishiki simu.

IMG_0379.jpg
 
Mkuu G960N ni ya Korea na Sio T-mobile, ulijuaje kama ni ya T mobile?

Hiyo ni baada ya kuweka file jipya ndo Ina soma hivo . Na Kuna sehemu niliona kwenye simu imeandikwa t mobile afu kichina China sana
 
Hiyo ni baada ya kuweka file jipya ndo Ina soma hivo . Na Kuna sehemu niliona kwenye simu imeandikwa t mobile afu kichina China sana
Kabla hajaeka file haikuwa na Kichina hapo kwenye download mode? Ama huku icheki?
 
Kabla hajaeka file haikuwa na Kichina hapo kwenye download mode? Ama huku icheki?
Hii ndo ilikuwa file La kwanza maana fundi aliniwrkea nikalipiga picha kwanza. Sasa amelitafuta amelikosa. N.a. atasema kinacholeta tofauti ni hapo pameandkikwa RP SWAEV: B3K:3 S:3. BAADA YA KIUI UPDATE NA KUWEKA FILE MPYA HAPO KWENYE HIYO INALETA RP N.A. HIZO FIGURE ZOTE ZINAKUKA 4 BADALA YA ILIVOKUWA TATU.
JPEG_20210508_021010_1872027484.jpg
 
Hii ndo ilikuwa file La kwanza maana fundi aliniwrkea nikalipiga picha kwanza. Sasa amelitafuta amelikosa. N.a. atasema kinacholeta tofauti ni hapo pameandkikwa RP SWAEV: B3K:3 S:3. BAADA YA KIUI UPDATE NA KUWEKA FILE MPYA HAPO KWENYE HIYO INALETA RP N.A. HIZO FIGURE ZOTE ZINAKUKA 4 BADALA YA ILIVOKUWA TATU. View attachment 1776922
Mkuu hata hapa ni ya Korea, tafuta fundi mwenye box zuri akusaidie.
 
Hii ndo ilikuwa file La kwanza maana fundi aliniwrkea nikalipiga picha kwanza. Sasa amelitafuta amelikosa. N.a. atasema kinacholeta tofauti ni hapo pameandkikwa RP SWAEV: B3K:3 S:3. BAADA YA KIUI UPDATE NA KUWEKA FILE MPYA HAPO KWENYE HIYO INALETA RP N.A. HIZO FIGURE ZOTE ZINAKUKA 4 BADALA YA ILIVOKUWA TATU. View attachment 1776922
Hapo inaonekana vizuri
JPEG_20210508_022036_-1376698235.jpg
 
Mkuu hata hapa ni ya Korea, tafuta fundi mwenye box zuri akusaidie.
Mkuu Niko Kigoma Sijui hao mafundi kama huku wanapatikana labda ungenisaidia nn chakufanya nikamuelekeza Fundi alieko hapa alakiganya. Maana anaweza isipokuwa ni kama haya ma file hana
 
Mkuu Niko Kigoma Sijui hao mafundi kama huku wanapatikana labda ungenisaidia nn chakufanya nikamuelekeza Fundi alieko hapa alakiganya. Maana anaweza isipokuwa ni kama haya ma file hana
Mkuu mimi ningeanza na kuflash upya kila kitu na liwe ni file lenye rom ya simu, modem na bootloader, vyote vitatu uanze upya kama nilivyokueleza comment yangu ya kwanza.
 
Mzee hapo weka kama 30k-50k kanunue saketi uendelee na maisha maana ukilazimisha sana wa’brick hiyo simu.

NB: saketi ununue sehemu inayoeleweka isije kuwa yamoto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom