Unaonekana unapenda reverse dance mno, vipi kuhusu Fik shun?Yeah Ayo na Teo madogo wanani'inspire sana pamoja na Kida the great.
EMINEM ni nambari waniNilivyoona Drake na Kanye wapo juu ya Eminem ndipo nilipojua kuwa hii ni RACISM..!
Fazaa izo ndo nazi'practice japo naona itachukua time kuzimanya ile yechu kabisa...Kuna Chalii wa Matejoo ndo master wa izo niaje.Unaonekana unapenda reverse dance mno, vipi kuhusu Fik shun?
Keep practicingFazaa izo ndo nazi'practice japo naona itachukua time kuzimanya ile yechu kabisa...Kuna Chalii wa Matejoo ndo master wa izo niaje.
Mbona huu muandiko wa kibongo tena wa MTU aliesoma art combo ya HKL ambaye ni Aaron ArsenalT.I. weighs in on the Top 50 rappers debate.
What do you think of his rankings?
View attachment 1227378
Kuwataja Brand Nubian umenikumbusha na BuckShot wa BLACKMOON.The late great Eazy E na MC Ren wa NWA. Huwezi kuwataja Dr Dre na Ice Cube ukawaacha hawa wawili. Nate Dogg pia kama Drake naye ni rapper. Lord Jamar na Sadat X wa Brand Nubian. Hawa nao ni seriously underrated MCs in my opinion.
Biggie ameiga style ya Slick Rick? Style ipi mkuu.Kizazi cha kina Big Small, Jay Z na rappers wengi kutoka East Coast; lyrically idol wao ni Slick Rick.
Anatajwa kama mtu mwenye influence kubwa kwenye namna ya kuandika mashairi East Coast na wengi wa kizazi cha kina BIG wameiga style yake halafu hayupo ata ndani ya top ten.
Of course hakuna, he's overrated. Album zake zote ukisikiliza ziko average compared na Reasonable Doubt ya 1996.Mashabiki wa 2pac mniwie radhi
Tangu nmeanza kusikiliza nyimbo za 2pac mpaka sasa sioni maajabu yake aisee
Ni mtazamo wangu jamani
Kumbe sio mimi tu nnae liona hilo, huyu jamaa lifestory/style yake pamoja na kiki ya kifo chake imemboost mara 100Of course hakuna, he's overrated. Album zake zote ukisikiliza ziko average compared na Reasonable Doubt ya 1996.
Imagery writing styleBiggie ameiga style ya Slick Rick? Style ipi mkuu.
Common na Pliers deserved a spot in the list, top thirty to be exactNa common katupwa nje? Hata pliers ni zaidi ya b boi na mwenzie...simuoni treach...yule jamaa wa onyx na wale jamaa waliimba ante it up na lost boys yote hasa mr chicks na freacky tah
Sampling, extrapolation, interpolation etc. ni kawaida kwenye muziki.Imagery writing style
Isitoshe ‘la di da d’is the most sampled rap song ever
“Ricky Ricky Ricky, can’t you see” can you tell where else you heard that similar line?
“