(1) T.B Joshua alitabiri kuwa Lowasa atashinda kwa Kishindo Urai 2015.
(2) CCM wakasema Lowasa amefuata Uchawi Nigeria.
(3) Wakati wa Kura za Maoni CCM wakakata Jina la Lowasa ili kufifisha Ndoto ya Urais.
(4) Askof Gwajima akajitokeza na Kumshawishi LOWASA ahamie UKAWA.
(5) Rais Johnathan Kutoka Nigeria akaja kushuhudia uchaguzi Tanzania.
(6) Rais Johnathan ni muumini wa T.B Joshua na wote wanatoka Nigeria ambako Bokoharam wamaezindua kiwanda cha Silaha.
(7) Baada ya matokeo ya Uchaguzi UKAWA wametoa vielelezo kuwa Tume ya Uchaguzi imeiba kura na kumpa Mangufuli huku rais Johnathan anashuhudia.
(8) CCM wanao amini kuwa Lowasa alifuata Ucahwi kwa T.B wanageuka na kumwita T.B kuja Tz.
(9)T.B anaingia Tanzania huku akiwa peku peku uwanja wa Ndege na kuanza kumshawishi Lowasa na Ukawa kuwa ana ujumbe wa amani
Maswali yangu ni haya yafuatayo:
(1) Kati ya Askofu Gwajima na T.B nani mpatanishi wa Kweli.
(2) Kama T.B ana amini katika upatanishi ni kwa kwa nini hakuanza kukutana na Askof Gwajima ambaye ni kiongozi wa dini na mtu wa Karibu na Lowasa ili ajue mambo ya kiroho lakini anasema yote hayo Mungu anajua.
(3) T.B Jushua ana sululisha mgogoro huo akiwa anawashirikishirikisha viongozi gani wa Kiroho hapa nchini?
(4) T.B ameja kama kiongozi wa Kiroho ama kiongozi wa Nigeria?
(5) T.B ni mgeni wa nani?? Hapa nchini nani alifanya mipango ya ujio wa T.B?
(6) Paspo haki hapana amani , sasa ni kwa vipi anaweza kutafuta amani kwa kuficha kujua haki ilivyopotea?
Nawaomba viongozi wa kiroho katika Tz kudumu kuomba ili kujua Nabii wa uongo ili Taifa zima lisije likaingia katika kuabudu Mizimu hasa ukizingatia kuwa leo hii kule Marekani wanasherekea sikuuu ya mizimu [Anaglia gzt la TzDaima]
(2) CCM wakasema Lowasa amefuata Uchawi Nigeria.
(3) Wakati wa Kura za Maoni CCM wakakata Jina la Lowasa ili kufifisha Ndoto ya Urais.
(4) Askof Gwajima akajitokeza na Kumshawishi LOWASA ahamie UKAWA.
(5) Rais Johnathan Kutoka Nigeria akaja kushuhudia uchaguzi Tanzania.
(6) Rais Johnathan ni muumini wa T.B Joshua na wote wanatoka Nigeria ambako Bokoharam wamaezindua kiwanda cha Silaha.
(7) Baada ya matokeo ya Uchaguzi UKAWA wametoa vielelezo kuwa Tume ya Uchaguzi imeiba kura na kumpa Mangufuli huku rais Johnathan anashuhudia.
(8) CCM wanao amini kuwa Lowasa alifuata Ucahwi kwa T.B wanageuka na kumwita T.B kuja Tz.
(9)T.B anaingia Tanzania huku akiwa peku peku uwanja wa Ndege na kuanza kumshawishi Lowasa na Ukawa kuwa ana ujumbe wa amani
Maswali yangu ni haya yafuatayo:
(1) Kati ya Askofu Gwajima na T.B nani mpatanishi wa Kweli.
(2) Kama T.B ana amini katika upatanishi ni kwa kwa nini hakuanza kukutana na Askof Gwajima ambaye ni kiongozi wa dini na mtu wa Karibu na Lowasa ili ajue mambo ya kiroho lakini anasema yote hayo Mungu anajua.
(3) T.B Jushua ana sululisha mgogoro huo akiwa anawashirikishirikisha viongozi gani wa Kiroho hapa nchini?
(4) T.B ameja kama kiongozi wa Kiroho ama kiongozi wa Nigeria?
(5) T.B ni mgeni wa nani?? Hapa nchini nani alifanya mipango ya ujio wa T.B?
(6) Paspo haki hapana amani , sasa ni kwa vipi anaweza kutafuta amani kwa kuficha kujua haki ilivyopotea?
Nawaomba viongozi wa kiroho katika Tz kudumu kuomba ili kujua Nabii wa uongo ili Taifa zima lisije likaingia katika kuabudu Mizimu hasa ukizingatia kuwa leo hii kule Marekani wanasherekea sikuuu ya mizimu [Anaglia gzt la TzDaima]