T.B Joshua na Askofu Gwajima!

T.B Joshua na Askofu Gwajima!

Fahamu kwamba Yesu huponya kupitia watu wake hapa duniani, ungewahi kumfatilia Prophet TB Joshua hata kwa nusu saa tu ungejua anatumia jina la Yesu. Tatizo tunakimbilia tu kuwataja kuwa ni manabii feki bila hata utafiti mdogo
Utafiti nje ya Biblia ni kujilisha upepo
 
Nilishawauliza mna video clip ya utabiri wa Lowassa? Msitulishe maneno na propaganda zilizoganda

Khaa!! Hii ilikuwa sababu enzi zile walivyokuwa wanamkamua ng'ombe wa babu. Watu wabaya sana
 
Yesu hakumaanisha physical assets, alikuwa anamaanisha uache Yale yote matamu unayoyapenda kisha umfuate. Matamu ni Kama uzinzi, ulevi, anasa, na dhambi nyingine tuzitendazo.

Pumbav.u na lofa....na wewe ni tapeli
 
Yesu hakumaanisha physical assets, alikuwa anamaanisha uache Yale yote matamu unayoyapenda kisha umfuate. Matamu ni Kama uzinzi, ulevi, anasa, na dhambi nyingine tuzitendazo.

Soma vizuri Marko 10:17-20: Yesu almwambia yule kijana azishike amri, usiue, usizini,usiibe, usishuhudie uongo.... Yule kijana akajibu kuwa hizo kazishika tangu utoto. Ndipo Yesu alipomwambia auze mali zake awape maskini atakuwa na hazina mbinguni, ndipo yule kijana aliondoka kwa masikitiko kwa kuwa alikuwa na mali nyingi.

Hapo inazungumziwa mali alizonazo mtu, uzinzi ulishatajwa tangu mwanzo.Msipotoshe maandiko kwa makusudi yenu.

Nakumbuka Yesu alienda kula nyumbani kwa zakayo yule sijui (nimesahau kidogo) alafu yule zakayo alichukua sehemi ya Mali zake (pesa) pale pale akawagawia wengine
 
Yesu alimwambia auze mali kumwonyesha unafiki wake kuwa ameshika amri zote. Kiukweli Yesu alikuwa anamwonyesha amevunja amri ya Kwanza kwa uchache: Usiwe na miungu mingine. Mali alikuwa mungu wake, no wonder baada ya kuambiwa amuuze mungu wake akasikitika na kutokomea...!

Hakika umenena vema ndugu.
 
Kushinda na kutangazwa mshindi kuna utofauti,ukitaka kujua ukweli waombe ccm turudie kuhesabu zile form zilizokua zinasainiwa na mawakala hapo utajua mshindi nani.
 
Hakuna mahali TB Joshua alitabiri EL kuwa rais. Zile zilikuwa propaganda za kizee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom