SZIFF2019

SZIFF2019

leonardbuba

Member
Joined
Nov 30, 2017
Posts
47
Reaction score
26
Kwa walioshuhudia leo utolewaji wa tuzo za #SinemaZetuInternationalFilmFestive2019 lazima wengi wao wameguwaa na kustaajabu namna ambavyo mambo yamekuwa na mshanga mkubwa yaani uliye mzania na kumtegemea imekuwa sivyo ndivyo kwa vipengele vyote na hii ni maana kubwa sana kwa upcoming filmmaker na actors kwamba nafasi zipo na ziko wazi ni swala la kujituma na kutengeneza kazi bora.

Msanii bora wa kiume 2019
:Rashid Msingala Filamu #Kesho.

Huyu ni mtoto ambaye hajavuka hata miaka 15, Na kawapiku watu kama Gabo,Mau Fundi,Madebe

Msanii bora wa kike
:Flora Kihombo Filamu #Kesho.

Nae hajavuka miaka 15,Na kawapiku wema sepetu,Monalisa na Johari

Hivyo ndivyo vilikuwa vipengera vigumu japo vipo vingine ila hivi ni mshangao wa mwaka, Tujadili raia wema wanakwama vipi na ni plan za Azam kufanya hivyo kutokana na kelele za mwaka jana au ni stahiki yao kwa kazi zao? mie sielewi nahitaji maoni yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe, wale watoto wangewawekea tuzo yao ya wasanii wanaochipukia. Si hivyo tu, pia wamechemeka maeneo mengine mengi tu, kuna vipengele kama vinne au vitano eti vimetoa washindi wawili wawili, we uliona wapi!...
 
Haya mambo ndo yaliishusha BSS...Kiukweli wabongo tunafeli sana tunaposhindwa kufanya haki kwa kufanya vitu kwa kutumia huruma.
Azam wamefeli...wametumia nguvu kubwa kutangaza hizi tuzo mwisho wamefanya utumbo..kama timu yao ya mpira tu.
 
Back
Top Bottom