Systi Nyahoza, jitafakari

Systi Nyahoza, jitafakari

AWAMU HII TUJIPANGE VIZURI ZAIDI TUWE NA VYAMOTO VYENYE MOTO TUKUTANE BARABARANI , MANINA ZAO
 
Halafu gentleman,
hakuna machafuko yatakayotokea nchini, huenda ukachafuka wewe mwenyewe tu 🐒

Kwamba CCM regime ni dola imara kuliko Fransisco Franco wa Ufaransa, Hosni Mubaraka, Roman Empire, Bokassa, Hitler, Amini, Ivan The Terrible, Samuel Doe, Saddam na Ghaddafi, Ottoman Empire, Bataflika wa Morrocco, Assad wa Syria...

Haya bana.
Tanzania tumeunda the strongest state security apparatus in world history.
 
Kwamba CCM regime ni dola imara kuliko Fransisco Franco wa Ufaransa, Hosni Mubaraka, Roman Empire, Bokassa, Hitler, Amini, Ivan The Terrible, Samuel Doe, Saddam na Ghaddafi, Ottoman Empire, Bataflika wa Morrocco, Assad wa Syria...

Haya bana.
Tanzania tumeunda the strongest state security apparatus in world history.
hizo ramli na hostori za kujifariji kindezi hivyo gentleman ndio unakuja kutisha wasiotishika kweli?

eleza mambo mengine bana usijipotezee waka for nothing gentleman 🐒
 
Nyinyi wajinga na wapumbafu wa Samia tulieni werevu na wenye akili timamu wakiongea,Nyinyi nendeni mkaimbe nyimbo za mapambio mkimsifu na kumuabudu mungu wenu Samuya
nyinyi malofa wafuata mkumbo kama nyumbu mtabebwa ufala wa kifikra na kumbwelambwela jukwaani na ushirikina wenu maisha yenu yote mtakua hivyo hivyo wa kulalamika 🐒
 
Huyo Nyahoza ni shetani mwendawazimu kuliko wote kwenye hiyo ofisi. Kwa kweli huyo ni adui wa Taifa. Lazima siku moja akamatwe na kulipia ushetani wake. Wadhulumaji wote wa haki ni maadui wa taifa kwa sababu wanatengeneza mazingira ya maafa na machafuko ya nchi.
 
Back
Top Bottom