G Glubo Member Joined Jul 15, 2017 Posts 12 Reaction score 1 Jul 23, 2017 #1 Guyz nimejaribu kufanya application ya sheria udom inazingua hasa baada ya kulipa chao kwa tigo pesa. Sent using Jamii Forums mobile app
Guyz nimejaribu kufanya application ya sheria udom inazingua hasa baada ya kulipa chao kwa tigo pesa. Sent using Jamii Forums mobile app
Naisoma360 JF-Expert Member Joined Jan 23, 2015 Posts 823 Reaction score 493 Jul 23, 2017 #2 mdogo mdogo applicants ni wengi hauko peke yako
Suip JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,374 Reaction score 848 Jul 23, 2017 #3 Hivi mbona hamna option ya kulipa fedha kwa m-pesa wakati katika maelekezo yao kuna m-pesa na crdb pia, ila unapoingia katika mfumo kuna tigo-pesa tu Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mbona hamna option ya kulipa fedha kwa m-pesa wakati katika maelekezo yao kuna m-pesa na crdb pia, ila unapoingia katika mfumo kuna tigo-pesa tu Sent using Jamii Forums mobile app
Suip JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,374 Reaction score 848 Jul 23, 2017 #4 IT wa UDOM jitahidini kuweka option ya m-pesa ya kulipia application fee,pia japo mmeweka ya CRDB lakini hafanyi kazi hivyo rekebisheni. Sent using Jamii Forums mobile app
IT wa UDOM jitahidini kuweka option ya m-pesa ya kulipia application fee,pia japo mmeweka ya CRDB lakini hafanyi kazi hivyo rekebisheni. Sent using Jamii Forums mobile app
Qj_ Senior Member Joined Feb 16, 2017 Posts 157 Reaction score 155 Jul 23, 2017 #5 System yao inazingua sana. Sent using Jamii Forums mobile app