SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,805
Kafie mbele huko CHADEMA. Huna hela1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.
2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Dah yani mambo hayaendi kabisa kisa pesa zimeshikiliwa na hii system upgrade1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.
2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Normal process na kwa huo muda ni sahihi kulingana na ukubwa wa taasisi1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.
2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Walichosea ilipaswa wawaandae wateja angalau mwezi.mmoja kabla. Walitoa notice siku chache na wengine hawakupata taharifa ikazuq taharuki kwa wateja.Normal process na kwa huo muda ni sahihi kulingana na ukubwa wa taasisi
Wamewapa faida kubwa sana wapinzani wao NMBWalichosea ilipaswa wawaandae wateja angalau mwezi.mmoja kabla. Walitoa notice siku chache na wengine hawakupata taharifa ikazuq taharuki kwa wateja.
SanaWamewapa faida kubwa sana wapinzani wao NMB
Mkuu kuna wateja ni ROYAL hawahami kwa upepo na hao wana mikopo na fedha nyingi hukoWamewapa faida kubwa sana wapinzani wao NMB
Hapo mikopo ongeza neno lukuki ile kopa lipa kidogo kidogo nunua ndinga vimba ila usiumwe ukiumwa tuMkuu kuna wateja ni ROYAL hawahami kwa upepo na hao wana mikopo na fedha nyingi huko
Hao wa shs 10,000 watahama
Kwahiyo na nyie mnatumia VPN? Au ni Chadema pekee!?Kafie mbele huko CHADEMA. Huna hela
Bank walitoa tarifa week moja kabla hawajaanza maboresho tatizo tunatabia ya kupuuzia vitu kwakua mda huo hatuna uhitajiWalichosea ilipaswa wawaandae wateja angalau mwezi.mmoja kabla. Walitoa notice siku chache na wengine hawakupata taharifa ikazuq taharuki kwa wateja.
Wamezingua haswa, jana kutwa nzima nimehangaika kuwasiliananao bila mafanikio mpaka saa saba usiku wa kuamkia leo ndio nikaongeanao.1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.
2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Hii taarifa wengi hatukupata tumekuja kuona tayari wameshaanza maboresho yaoBank walitoa tarifa week moja kabla hawajaanza maboresho tatizo tunatabia ya kupuuzia vitu kwakua mda huo hatuna uhitaji
wanataka kuficha taarifa za akina Bilionea IGP KAMILIUS WAMBURA. Siku askari wapiganaji wakijitambua wanavyotumika siku hiyo hiyo nchi inakombolewa.1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.
2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Umewaza mbali1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.
2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Maybe labda hujui, wanafanya sana lakin itategemea na upgrades maeneo gani na kwa ukubwa gani, si kila upgrade inachukua siku 31. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.
2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.