K kophia Member Joined Jul 3, 2012 Posts 14 Reaction score 4 Jun 19, 2015 #1 Hii kazi ilitangazwa mwezi wa tano. Vp mwenye habari juu ya hii kazi je walishaita watu kwa ajili ya interview?
Hii kazi ilitangazwa mwezi wa tano. Vp mwenye habari juu ya hii kazi je walishaita watu kwa ajili ya interview?
G Glory Ambroce Member Joined May 18, 2015 Posts 36 Reaction score 8 Jun 19, 2015 #2 nahisi bado kakaaa
K kophia Member Joined Jul 3, 2012 Posts 14 Reaction score 4 Jun 19, 2015 Thread starter #3 ok. Nashukuru kwa taarifa.
mdafanga JF-Expert Member Joined Apr 15, 2015 Posts 618 Reaction score 197 Jun 19, 2015 #4 kophia said: Hii kazi ilitangazwa mwezi wa tano. Vp mwenye habari juu ya hii kazi je walishaita watu kwa ajili ya interview? Click to expand... Kaka we ulicertify vyeti??
kophia said: Hii kazi ilitangazwa mwezi wa tano. Vp mwenye habari juu ya hii kazi je walishaita watu kwa ajili ya interview? Click to expand... Kaka we ulicertify vyeti??
C CHIEF JJ JF-Expert Member Joined Dec 29, 2014 Posts 1,075 Reaction score 357 Jun 20, 2015 #5 tutawaita jamani hata miezi miwili bado
K kophia Member Joined Jul 3, 2012 Posts 14 Reaction score 4 Jun 22, 2015 Thread starter #6 vyeti vyangu vyote vilikuwa certified na mwanasheria wa serikali.
mdafanga JF-Expert Member Joined Apr 15, 2015 Posts 618 Reaction score 197 Jun 22, 2015 #7 kophia said: vyeti vyangu vyote vilikuwa certified na mwanasheria wa serikali.ngoja tusubiri. Click to expand...
kophia said: vyeti vyangu vyote vilikuwa certified na mwanasheria wa serikali.ngoja tusubiri. Click to expand...