Syrian Exhibition Vs Vita Syria

Syrian Exhibition Vs Vita Syria

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,775
Reaction score
3,842
1. Wa-Syria wana maonyesho kila kukicha. Sijui wanazalisha hizo bidhaa saa ngapi wakati Syria kinawaka kila siku.

2. Wabongo tunasubiri Teuzi tu na Mechi za Simba na Yanga

Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi
 

Attachments

  • download (2).png
    download (2).png
    6.5 KB · Views: 9
1. Wa-Syria wana maonyesho kila kukicha. Sijui wanazalisha hizo bidhaa saa ngapi wakati Syria kinawaka kila siku.

2. Wabongo tunasubiri Teuzi tu na Mechi za Simba na Yanga

Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi
😀😀😀😀
 
1. Wa-Syria wana maonyesho kila kukicha. Sijui wanazalisha hizo bidhaa saa ngapi wakati Syria kinawaka kila siku.

2. Wabongo tunasubiri Teuzi tu na Mechi za Simba na Yanga

Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi
Sisi tunazalisha machawa, mafisadi, majizi nk wa kutosha kwenye kiwanda cha fisiemu!
 
Back
Top Bottom