Nimemuona Wadi Haddad.Jambazi hivi hivi asiyeshindwa kutenda lolote kwa amri ya Shetani.Tembelea hapa Wadii Hadad's Photos | Facebook
Unaangalia BBC, CNN, Al JAZEERAH news pekee ?Jameni! mbona hatuono jamii za waarabu wakilia kuhusu vile hali ilivyo Syria, kwa sababu naona watu kama elfu tano wamefariki tangu majeshi ya serikali waanze kuwaangamiza wananchi. Je! hii inaonyesha jinsi jamii ya kiarabu imeunganika pamoja hata wasiweze kukemea uovu unaotendendeka miongoni mwao. ajabu!!
The ruler of the Gulf state of Qatar has said Arab countries should send troops into Syria to stop government forces killing civilians there.
Sheikh Hamad bin Khalifa Al Thani told US television channel CBS "some troops should go to stop the killing".
It is the first time an Arab leader has publicly called for military intervention in Syria.
Zaidi BBC News - Syria crisis: Qatar calls for Arabs to send in troops
Unaangalia BBC, CNN, Al JAZEERAH news pekee ?
Kama ulifuatilia vita ya Libya, ni uongo tu unatumika kujenga kesi ya vita.
[video]http://www.youtube.com/user/WolkenZwemmer#p/a/f/1/cneJWtoQI2M[/video]
Thierry in Syria - Not Going the Way Israel and NATO Wanted - YouTube
Tembelea The plan to destabilize Syria [Voltaire Network]
Lies and truths about Syria [Voltaire Network]
"Islamic" regimes????Nonda, I hope you are not putting here people who have fallen out of their respective countries and governments as reference to champion the cause for despotic "Islamic" regimes. Especially for Syria and president Assad, the events are worse than the Saddam and the Iraqi case. scenario
Mzalendo452@Nonda, I hope you are not putting here people who have fallen out of their respective countries and governments as reference to champion the cause for despotic "Islamic" regimes. Especially for Syria and president Assad, the events are worse than the Saddam and the Iraqi case. scenario