figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Baada ya kuangushwa uchaguzi ameamua kufunga. kasema anaye haribu ccm ni Lowasa, chenge, bashe na vedasto mathayo. Amewataka wang'atuke kwa manufaa ya ccm. Kama wasipo fanya hivyo basi Rais atumie mamraka aliyo nayo kuwawajibisha. Amewashutumu kununua wapiga kula kwa kuwapa rushwa. je atafanikiwa kumshawishi Rais achukue hatua?. Hatua hiyo imekuja baada ya rais kuwataka watu wote wenye mapenzi mema na nchi hii kuwataja wanao jihusisha kutoa na kupoke rushwa.mia