njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,367
- 5,505
Mtoa Rushwa wa kwanza ni JK aliingia madarakani kwa biliion 20 na mtandao wa boyz 2 men.
acha kuropokwa wewe... JK alichaguliwa na watanzania.... hizo billion 20 naomba uweke ushahidi
Mtoa Rushwa wa kwanza ni JK aliingia madarakani kwa biliion 20 na mtandao wa boyz 2 men.
Weka kando Ukiladha wa huyu Jamaa! Vipi aliyosema yanamantiki? Na kaujasili wa kajapo kutokufa kikondo, Je hao aliowataja wanafanya hicho alicho kisema huyo MATANGA/Msiba?
kuna kilaza mmoja alikuwa mtangazaji wa channel ten na magic fm(kama sio times fm),hata alipokuwa mtangazaji nilikuwa najiuliza alipataje kazi maana upeo wake ni mdogo mno.